Lema yupo ITV Live

Lema yupo ITV Live

Lazima ateme pumba tu...
Saa moja hii Kamanda Godbless Lema na Albert wapo ITV wanazungumzia Operation Tokomeza.

Lema katoa nondo za ukweli, amesema Nchimbi alikuwa mkweli aliposema naomba mungu anipe roho ya kusamehe, ni kwasababu aliyetuma kuua watu na kuwatesa na rais wa nchi
 
Ana lalama tu kuhusu mabomu Mara ccm Hana hoja za kusaidia uchafu wa mitaa na shida za maji na umeme arusha barabara zimejaa vumbi tupu maeneo ya wanaomshabikia ndiko kumejaa vibaka na wasionakazi arusha Ina mateja na wazurulaji tu
 
Saa moja hii Kamanda Godbless Lema na Albert wapo ITV wanazungumzia Operation Tokomeza.

Lema katoa nondo za ukweli, amesema Nchimbi alikuwa mkweli aliposema naomba mungu anipe roho ya kusamehe, ni kwasababu aliyetuma kuua watu na kuwatesa na rais wa nchi

huyo nchimbi atuweke wazi na aliyemtuma kulipua kanisa na mkutano wa chadema Arusha....
 
aliyoyasema Mh GODBLESS G. Lema ni ya ukweli mtupu. Rais wa nchi, JK ndio kavunja katiba kwa kuelekeza na kuanzisha operation ya kijeshi kinyume na taratibu, sheria na katiba.

Mawaziri waliowajibika kisiasa walipaswa kuwajibika ndio lakini Rais mwenyewe ndie alipaswa awajibike, maana mawaziri walifafanya na kutii agizo la bosi wao.

polisi na wanajeshi wale hakika walikuwa wanatekeleza amri ile sawsawa na maelekezo ya JK kupitia kwa CDF.

Katika hili Lema amezungumza bila kupepesa macho, bold as always. Anasimamia principle yake ya kuwa mkweli na kuondoa uoga.

Asante Lema, wananchi tuamke tumuulize JK kwanini kavunja katiba
, kwa sababu bunge halikufanya kazi yake ipasavyo
 
Last edited by a moderator:
anaongelea kuhusu operasheni tokomeza wabunge wa ccm walikuwa wanaiga walikuwa hawana dhamira ya ukweli

waambie walinzi wakae macho kama kuna magari pembeni ataiba huyo ni mzee wa kazi zombe alisha wataadharisha
 
Anatoa ile hotuba yake ya miguu ya kuku na utumbo.
 
Mbunge huyu ni mmojawapo wa wawakilishi makini wa wananchi. Tunajivunia kuwa na mbunge kama Lema, wangekuwepo wachache kama yeye hakika ukombozi wa ukweli ungepatikana kwa haraka zaidi na kwa gharama kidogo.

wananchi tuwe makini tunapowachagua viongozi, kweli mbomoa nchi au mjenga nchi ni mwananchi mwebyewe
 
Back
Top Bottom