Lema yuko live Sunrise Radio sasa

Lema yuko live Sunrise Radio sasa

Wimana

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2012
Posts
2,449
Reaction score
718
Tune Sunrise Radio mliopo Arusha.

Mh anaongea, anawararua Polisi na RC, anatema hoja za nguvu, na anasimamia haki.

Anazungumzia uchaguzi wa kata ya Sombetini. Anasema kuwa uchaguzi wa Sombetini kwa nini hauitishwi? Anasema kama Uchaguzi wa Kata ya Sombetini haufanyiki, basi Mh Mawazo bado ni Diwani wa CCM kwa uwakilishi wa CHADEMA! Na kuwa hataenda Bungeni kwa ajili ya hilo, akienda Bungeni atakula sahani moja na Pinda (maneno yangu).

Anasisitiza; DHAMBI KUBWA KULIKO ZOTE NI WOGA!
 
Nimeipenda hiyo...Mh Mawazo bado ni Diwani wa CCM kwa uwakilishi wa CHADEMA!
 
Duh huyu jamaa next level kweli mpiganaji hachoki... RC Arusha nadhan atakua ameamua kurudi nyumbani kupumzika kesho aanze siku mpya.
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?
 
Ndo mnakokimbilia mkiambiwa ukweli TISS upo wapi hata kaburu alikua nao yupo wapi watawachoka hata hao mnaowategemea. MUDA SI MREFU polisi nao watawakana make mnawadhalilisha kesi zinawashinda kwakuwa si za kweli. Walevi ni waliomkamata Lema hawakufikiri kabla ya kutenda hatakama ni amri
 
Akitoka huko awahi Mjengoni kuthibitisha udini wa JK
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

- Better to remain silent and be though a fool than to speak out and remove all the doubts

- A wise man fights to win, but he is twice a fool who has no plan for possible defeat
 
Daaah! Ngoja anyofolewe kucha ndo mtatuambia. Saivi hatuogopi maana dhambi kubwa ktk kupigania haki ni uoga,waoga watatumbukizwa katika tanuru la moto wa milele
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?
 
- Better to remain silent and be though a fool than to speak out and remove all the doubts

- A wise man fights to win, but he is twice a fool who has no plan for possible defeat

Mkiambiwa ukweli unawauma,TISS wafanye majukumu Yao kwa maslahi ya taifa.Lema ni zaid ya tatizo kwa vijana,ushaskia anapata support hata kutoka kwa wabunge wenzake makin wa chadema?Ulishamskia Arfi anacomment chochote cha Lema?au Zitto?take a note.
 
Akitoka huko awahi Mjengoni kuthibitisha udini wa JK

Hiyo ni kazi rahisi sana tena anaweza kujaza hata page 100.Rais kama taaasisi na kama kikwete yeye binafsi amelilea tatizo la udini.Mbona evidence ziko nyingi tu
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?

unamaanisha LEMA anavuta hayo makitu?
 
Tune Sunrise Radio mliopo Arusha.

Mh anaongea, anawararua Polisi na RC, anatema hoja za nguvu, na anasimamia haki.

Anazungumzia uchaguzi wa kata ya Sombetini. Anasema kuwa uchaguzi wa Sombetini kwa nini hauitishwi? Anasema kama Uchaguzi wa Kata ya Sombetini haufanyiki, basi Mh Mawazo bado ni Diwani wa CCM kwa uwakilishi wa CHADEMA! Na kuwa hataenda Bungeni kwa ajili ya hilo, akienda Bungeni atakula sahani moja na Pinda (maneno yangu).

Anasisitiza; DHAMBI KUBWA KULIKO ZOTE NI WOGA!
tungekuwa na kina lema 50 tu tanzania, wabambikizaji wa kesi wangepungua.....!
 
Mkiambiwa ukweli unawauma,TISS wafanye majukumu Yao kwa maslahi ya taifa.Lema ni zaid ya tatizo kwa vijana,ushaskia anapata support hata kutoka kwa wabunge wenzake makin wa chadema?Ulishamskia Arfi anacomment chochote cha Lema?au Zitto?take a note.
Hii TISS ya akina Ulimboka? Hii TISS ya akina Kibanda?
 
ndo mnakokimbilia mkiambiwa ukweli tiss upo wapi hata kaburu alikua nao yupo wapi watawachoka hata hao mnaowategemea. Muda si mrefu polisi nao watawakana make mnawadhalilisha kesi zinawashinda kwakuwa si za kweli. Walevi ni waliomkamata lema hawakufikiri kabla ya kutenda hatakama ni amri
hv hao watu wapo nchi hii, twiga wanaibiwa pesa zinaibwa bado unataka msaada wa hawa watu??
 
Maskini Tanzania yangu,impact ya matumizi ya dawa za kulevya(bangi) ya mtu mmoja inaathiri sehemu kubwa ya jamii,TISS mko wapi?Okoeni taifa,watu wengine ni madhara kwa taifa?
ni kweli mkuu watu kama mwigulu, lusinde na hata rage maana nasikia wanapikia bangi kwenye mboga, halafu usalama wa taifa wanaangalia tu, sijui kwa nini hili taifa!
 
Back
Top Bottom