Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Hawa vijana Ni sugu. Bila kuwachana kwa maneno makavu hawatakuelewa.Dah mkuu haya matumizi kama vile ni somo fulani unalijibia maswali ya mtihani.
Hawa vijana Ni sugu. Bila kuwachana kwa maneno makavu hawatakuelewa.Dah mkuu haya matumizi kama vile ni somo fulani unalijibia maswali ya mtihani.
Kama unavyoandamana pale geti la kijani kuwezeshwa kupandisha utopolo humu sio na siasa zako za roho mbaya.Ungeandamana sasa kama Lema avyosema- umepewa euro 20 halafu unakataa kuandamana halafu unaleta porojo humu
Ungekaa nafasi ya Lissu alafu upiigwe risasi kibao, ungeelewa kwanini Lissu anaongea bila hofu hata mbele ya huyo unayemuita mkubwaNi kweli taarifa ya Lisu, ya mambo aliyoongea na Mje. Rais Samia inaonekana ni maagizo ili Rais atekeleze. Hili ndiyo tatizo la Lisu la kujikweza na kuonyesha kuwa yuko juu ya kila mtu.
Mdogo akiongea na mkubwa, ni mkubwa ndiyo anatoa taarifa ya kilichoongelewa; kinyume chake ni kuukosa adabu.
Huku ndiko kukoroga mambo kulivyo.
Mbowe kwa sasa yupo magereza ya CCM, Makamu Mwenyekiti ndo aliongea na Mwenyekiti Wa CCM on his place.Mwenyekiti wa machedema sio Mbowe tena?
Sasa mbona jamaa kaandika kuwa waliokutana ni wenyeviti wa vyama vyao?Mbowe kwa sasa yupo magereza ya CCM, Makamu Mwenyekiti ndo aliongea na Mwenyekiti Wa CCM on his place.
Sahihi.Sasa mbona jamaa kaandika kuwa waliokutana ni wenyeviti wa vyama vyao?
Kama haki haiombwi mbona wamekimbia nchi Mzee??Haki ha
Haki haiombwi hata kenge habembelezi kuiomba anayoamini ni haki yake, hapo hana akili vipi kwa wanaouza mbongo zao pale mtaani kwao? SI watazidiwa na kenge Kwa uelewa na kunitambua?
Na hili ndilo tatizo!Shida ya hawa watu huwa wako sahihi muda wote na kila wakitakacho lazima wengine wafanye....
Haki inawezekana kuiona na kuisimamia ukiwa na afya, nguvu na zaidi uhai ukiwepo, au wewe unawazaje hata kuuliza Hilo swaliKama haki haiombwi mbona wamekimbia nchi Mzee??
Kwanza sina chama.
Kuhusu Lema: Binafsi sijawahi kumuona Lema kama ana akili. Ni mtu ambaye anajiona ana akili lakini hana akili.
Kuhusu Lissu: Lisu ana akili lakini hana maarifa. Matokeo yake kinamgharimu anakuwa mropokaji. Akitaka kujifunza uwana harakati ajifunze kwa Malcolm X.
Umesahau kimoja, nacho ni akili+maarifa kwa sababu kuyapigania hayo kuna hitaji mbinu.Haki inawezekana kuiona na kuisimamia ukiwa na afya, nguvu na zaidi uhai ukiwepo, au wewe unawazaje hata kuuliza Hilo swali
Ukiwa huru na ukiwa muangaliaji wa mambo yanavyokwenda yanamfanya mhusika kung'amua mengi.
Kuponya uhai, ili hiyo afya iwepo, nguvu na maarifa viwepo pia, unajidai kuwa hukuwahi kuwasilia au kuwajua wasiojulikana ama🤔.Umesahau kimoja, nacho ni akili+maarifa kwa sababu kuyapigania hayo kuna hitaji mbinu.
Nimeongezea ulichokiandika ila bado hujanijibu: Muktadha au dibaji yetu ni kuwa haki haiombwi! Ukiwa huo ndiyo msingi mbona wamekimbia nchi?
Wanazoom vyeo kutoka walipo hapo mtaa wa kijaniLema yupo sahihi. Diaspora wengi ni vigeugeu