Lema, umewapa nini wana-Arusha?

Nashukuru ata wanasheria mmeliona ili. Ukweli ni kuwa chuki .fitna .majungu wanayomjengea mbunge ndio sababu hasa ya maamuzi yetu magumu. Atuishi kwa kutegemea atatufanyia nini. ?Ila tuna oppose khila za mafisadi
 
Mkuu Abunuas, wewe jenga majungu tu. Wewe ni kati ya waoga wa ID feki. Mimi si mtu wa mchezo ndugu. Endelea kujidanganya na kujificha
ndg mheshimiwa sana mwanasheria. tuweke pembeni mahaba yako kwa lema; tueleze ni nini hasa cha maana lema alichokifanya arusha? wakati mwengine mnajidhalilisha tu. tena bora hata ungekuwa na ID fake kama yangu kuliko hiyo yako ya uhalisia halafu unaishia kuposti pumba tu humu.
 

Arusha tunasubiri tu tarehe ya uchaguzi, Lema tutamruhusu akafanye kampeni mikoa mingine, siku ya kupiga kura arudi kutangazwa mshindi. safari hii makamanda wana usongo wa kupiga kura.
 
MUSSA ALLAN,mimi ni mwanasheria kweli na nipo hapa Arusha. Kama unajiamini tutafutane tujadiline kuhusu nchi yetu hata kwa dakika tano. Nitaondoka Jumapili

hawezi kuja huyo si unajua weekend ndo muda wake mzuri wa kujiuza kule shivas
 
Last edited by a moderator:
Lema lema lema ccm wakifanya mikitano ndio utaja ivyo nakumaliza mikutano yao hawana hoja za msingi Mh mwanasheria nikujulishe arusha akuna wa kushindana na lema kawa chakaza ccm vyakutosha sasaivi ccm akuna mpinzani kabisa kama lema akubaliki waulize ni nani anakubalika ili tumpime nae
 
Mkuu 999 naomba urudie kusoma nilichoandika kwamaana ulikuja vibaya mwenzoni kwenye uchangiaji wa comment yangu ila mwishoni ukamaliza vizuri.

Nahisi umechanganya sentensi.
 
Reactions: 999
Mkuu 999 naomba urudie kusoma nilichoandika kwamaana ulikuja vibaya mwenzoni kwenye uchangiaji wa comment yangu ila mwishoni ukamaliza vizuri.

Nahisi umechanganya sentensi.

Labda nilikuelewa sivyo ndivyo, ahsante sana mkuu
 
ni aibu kwa mtu unaejiita mwanasheria kutumika kiasi hiki. hii ni afadhali hata ya condom.
Kiboko ya wanafiki kama wewe Hon, prophet Lema ndie mwamba wa kaskazini , kafutilia mbali dhambi ya uoga Arusha .
 
Kiboko ya wanafiki kama wewe Hon, prophet Lema ndie mwamba wa kaskazini , kafutilia mbali dhambi ya uoga Arusha .
naona nawewe unaunga tela kusifia ujinga. binafsi nasema hivi chadema wachague mtu mwengine wa kuliwakilisha jimbo la arusha na sio yule zero brain. siamini kama kweli pale arusha hakuna akina lisu, mnyika, zitto, mdee, msigwa na wengineo wengi. tunahitaji vichwa kulisogeza taifa hili na sio makalio.
 
Lema ni maarufu kwa majambazi wenzake akiwemo mleta mada ndio maana unampenda
 

Sasa mkuu watu ambao wapo tayari kulipigia kura jiwe wana akili vizuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…