to be honest, mie pia ni mwanaCDM lakini lema cmkubali kabisa - infact ni mwanaharakati tu na wala c mwanasiasa! tazama hata kauli zake zimekaa kisharishari tu, ningependa kuona mwanasiasa kijana akiibua hoja flani na kuitetea kwa facts. mtoa mada, naomba unitajie hoja moja tu iliyoibuliwa na lema kwa manufaa ya eidha wana AR au hata TZ yote toka amekuwa mbunge.................... (n.b - usimlinganishe na mwingine yeyote coz mada mezani ni lema).
Nani anaemfuatilia huyu empty skull!
to be honest, mie pia ni mwanaCDM lakini lema cmkubali kabisa - infact ni mwanaharakati tu na wala c mwanasiasa! tazama hata kauli zake zimekaa kisharishari tu, ningependa kuona mwanasiasa kijana akiibua hoja flani na kuitetea kwa facts. mtoa mada, naomba unitajie hoja moja tu iliyoibuliwa na lema kwa manufaa ya eidha wana AR au hata TZ yote toka amekuwa mbunge.................... (n.b - usimlinganishe na mwingine yeyote coz mada mezani ni lema).
To be honest, mie pia ni mwanaCDM lakini lema cmkubali kabisa - infact ni mwanaharakati tu na wala c mwanasiasa! tazama hata kauli zake zimekaa kisharishari tu, ningependa kuona mwanasiasa kijana akiibua hoja flani na kuitetea kwa facts.
Mtoa mada, naomba unitajie hoja moja tu iliyoibuliwa na lema kwa manufaa ya eidha wana AR au hata TZ yote toka amekuwa mbunge.................... (n.b - usimlinganishe na mwingine yeyote coz mada mezani ni lema).
Mtu asiyethamini kisomo kipindi hiki huyo hana maana kabisa badala ya kushawishi kisomo cha kimapinduzi anasema eti watu wasiwe waoga bila hata kusema woga unatokaje wala kusema tofauti ya ujasiri wa critical mind na vurugu zisizo na tija!!!!!
Anahamasisha ubabe na mtoa mada anasema ni hotuba ya kuvutia sana na ukumbi ukakubali maneno haya ya kamanda????!!!!!!
Hivi BAVICHA ndio cream ya vijana wa chama,ndio tanuri la damu changa na fikra chipukizi???!!!!
I am disapointed with you guys!!!!!!
Nabii hakubaliki nyumbani,hata kipindi Lema alivyoongea kuhusu Zitto bado mlimponda,endelea kutumia utumbo mpana kifikiri.
Jaribu kuangalia Mapinduzi sehemu nyingi hayakuja kama wewe unafikiri.