Tunahekima, hatutaji majina usikute jina la mzazi wako likatajwa. utaendelea kuulizia, wakutajie na la shangazi na ukiendelea la dada zako??
Unataka tuweke wazi uzinzi wa viongozi wako wa juu?? na hali zao???
Mjane wa Marehemu Mwangosi anadai rambi rambi zake mkuu.............. Laana ya kula rambi rambi za marehemu Mwangosi haitakuacha hivihivi
Kamvue uenyekiti Mbowe kwanza kabla hujanyooshea wengine vidole
KUB anatumia cheo kufanyia uzinzi ni aibu kubwa kwa chadema na taifa
Hilo la CCM sijui lilikua linaongea manini sasaa,halafu huyu Lemaa alikosa mifano mpaka atoe ya kufanya mapenzi na mama mkweee mbona mifano mingi tu ila kajitahidi japo sio saanaaa
Unataka tuweke wazi uzinzi wa viongozi wako wa juu?? na hali zao???
Kwa umakini wa CC ya Chadema very soon watamvua uanachama Lema!
Kamvue uenyekiti Mbowe kwanza kabla hujanyooshea wengine vidole
KUB anatumia cheo kufanyia uzinzi ni aibu kubwa kwa chadema na taifa
Kamvue uenyekiti Mbowe kwanza kabla hujanyooshea wengine vidole
KUB anatumia cheo kufanyia uzinzi ni aibu kubwa kwa chadema na taifa
Kamvue uenyekiti Mbowe kwanza kabla hujanyooshea wengine vidole
KUB anatumia cheo kufanyia uzinzi ni aibu kubwa kwa chadema na taifa
Safi Sana Lema
Akiongea ITV jioni hii, Mbunge LEMA amesema kama pinda angekuwa CDM wangemvua UPM na Ubunge, pia wangemfikisha mahakamani kwa yale yaliyotokea kwenye operation kimbunga na tokomeza. Aidha Mawaziri wote wane angevuliwa hadi uanachama kwa fezeha walizofanyiwa wananchi.
Lema amesema CC ya CDM iko makini ktk kufanya maamuzi makubwa ya kuwaajibisha viongozi ndan ya CDM kwa makosa au shutuma zinazomkabiri.
Mtu au raia mmoja akiteswa rais achukkulie kama mmoja ktk familia yake ya damu ameteswa hivyo awe makini na serious kufatilia sualahilo.
Mtangazaji amembana mbunge OBAMA kuhusu CCM kushindwa kufukuza mafisadi, OBAMA kama waliyo wenzake ameshindwa kujibu anadai hata kijiji kinamafsadi, unaongelea wa kkijijn wakati swali ni la kitaifa??
Nawasilisha
Asilimia kubwa ya kauli za Lema. Hazina kichwa wala mguu. Anataka PM afukuzwe, mbona yeye alipopatwa na ile kashfa ya MINI KABANG baada ya picha kuvuja hakufukuzwa?