Viper
JF-Expert Member
- Dec 21, 2007
- 3,667
- 1,401
"Nassari alisema mwaka 2010 alipoamua kugombea ubunge akiwa kijana mdogo, alikwenda kwa Godbless Lema kuomba ushauri wa kugombea nafasi hiyo.
Alisema Lema alimshauri akapambane katika chama na akipitishwa kura za maoni, amfuate atampatia Sh. milioni kumi na alipomfuata baada ya kupitishwa Lema alichukua karatasi alimwandikia tumaini, jipe moyo na utashinda, akampa akamwambia hiyo ndiyo milioni kumi".
Hoja ni Millioni 10 na sio kumsaidia hamasa Joshua Nassari au lah....naomba Lema asipewe cheo cha umalaika kana kwamba hana mapungufu ya kibinadamu au hawezi kukosea, tupunguze ushabiki wa kijinga.
mkuu hii milioni 10 mbona inakushughulisha sana....!