upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,072
- 4,482
Kwani Rais ana mpango wa kuendelea kujifanya mungu?
ma ccm yatakuja na hiyo slog last election.Oyaaaaaaa wewe la mtu mm si shabikii siasa na lowaaasaa ndo nani villleeee embu tililika
Noted
Nashangaa! Waliokuwa wanasema hadharani kuwa Lowassa hamalizi wiki mbili ATAKUFA tena mbele ya ngosha walikuwa sahihi lakini Lema tena hajasema atakufa kasema atachukua maisha yake imekuwa nongwa.mbona Lowasssa mlisema anaumwa atakufa?leo jamaa kamsema BWANA YULE imekuwa kosa.
swissme
Namuunga mkono lema 200%Nashangaa! Waliokuwa wanasema hadharani kuwa Lowassa hamalizi wiki mbili ATAKUFA tena mbele ya ngosha walikuwa sahihi lakini Lema tena hajasema atakufa kasema atachukua maisha yake imekuwa nongwa.
Kwani kuchukua maisha Mungu ni kosa? Sii Mungu atakuwa kampenda zaidi?
Mtu anayeombewa kwa Mungu amchukue kosa liko wapi wakati Mungu atakuwa katimiza wajibu wake?
Lema angesema Alshabab watachukua maisha yake huo ndio uhaini nami ningeshangaa kama leo hii angekuwa uraiani
....dah kwelii.Aseee kwa akili za tundu lisu... Na kiibatala aseeee jamhuri itawekwa chini....Hamna kesi hapo!
Inaudhi sana, mtu anatibua jambo ambalo watu kwa miaka mitano wamehangaika nalo nje ya utaratibu wa serikali halafu analeta majanga na huyo msimamizi mkuu badala hata ya kukaa kimya anampigia simu kunpongeza tena anaomba kuongea na mtu mwingine nje ya mfumo wa utawala kumwambia RC kafanya jambo safi sana.Jamani mbunge wangu lema punguza ukali kdg,watanzania tunajua vizuri tuna rais wa namna gani lakini tutulie 2020 sio mbali,ila kama wacha Mungu tuzidi tu kumuombea rais ili maamuzi na kauli zake ziwe zinaongozwa na Mungu mwenye hekima.
Kweli majangaaaaaMajanga, eneo nitafute mimi, wafadhili nitafute mimi, proposal niandike mimi. ĪLakini wazindue wao na kusema mradi ni wao
Dalili za mvua Mawingu ndio maana anaomba ajengewe msikiti akija wa kikristo ataomba kanisa akija asiye na dini tutamuomba atuongezee bombadiaKwani Rais ana mpango wa kuendelea kujifanya mungu?