nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Tumebadilika Baba! Lema katuletea wajane na mayatima.sasa Tunataka tupige pesa. Monaban fungua milango biashara zimezorota na hatutaki maandamano.
Halafu wakipigwa chini akapewa Kingwendu analeta impact gani kwa uchumi wa mtu mmoja mmoja,anachagiza nini ktk maendeleo ya wananchi kuhusu biashara zao za Kitalii hasa ikizingatiwa Arusha ilipo kwa Jiografia yake,hujiulizi mara mbili mbili miaka yoote Jiji liko kwenye mihemko,vurugu,maandamano na karaha zote,mbona maandamano hayo hayaendi kufanyika Hai au Moshi Mjini,Singida Mashariki?Kukiwa na vurugu nani atakubali kuacha biashara yake wazi kama si kuifunga kwa kuogopa Vibaka na hasara ya uharibifu wa mali?biashara yenyewe Mtaji umekopwa toka FINCA,PRIDE,BAY PORT nk,Akili za kuambiwa changanya na zako baba!
Potelea mbali Arusha wanajitambua. ccm Arusha walishai delete siku nyingi. Hatuitaki ccm Arusha hata mkazikiri uchi mpige na push up.
Sasa ameanza rasmi kampeni za kutuma spam messages akiomba kupigiwa kura.
Inasikitisha hii mitandao yetu kutumika kwenye kampeni na kugawa namba zetu kwa wanasiasa.
Lema ndio Tumaini pekee la Wana Arusha baada ya Lowassa kuibiwa kura.
Tuungane kwa pamoja kuombea Lema ashindwe ubunge Arusha.
Tuungane kwa pamoja kuombea Lema ashindwe ubunge Arusha.
Tuungane kwa pamoja kuombea Lema ashindwe ubunge Arusha.
Tuungane kwa pamoja kuombea Lema ashindwe ubunge Arusha.
Tuungane kwa pamoja kuombea Lema ashindwe ubunge Arusha.