Lema keshaondoka Dodoma?

Lema keshaondoka Dodoma?

Madhali ni mwanachama humu, naamini atatujuza si muda kuwa yu wapi kuelekea Arusha au ndo amalizia agana na viongozi wake wa chama.
 
Anasubiri baraka za UKAWA huenda ikawa mwisho wa mwezi ujao.
 
Tayari. Ntarudi bunge la jamuhuri ...bange la katiba nimemuachia six
 
Nadhani ipo haja sasa, mtu anapotoa muda fulani kufanya jambo fulani,aweke wazi kama muda huo ni kwa sayari gani maana wakati mwingine inachanganya. Si mnakumbuka siku tatu alizo kuwa amepewa JK, watu mkadhani ni siku3, kwa mujibu wa saa za duniani! kumbe ilikuwa ni siku 3,kwa mujibu wa saa za Pluto!
 
Nadhani ipo haja sasa, mtu anapotoa muda fulani kufanya jambo fulani,aweke wazi kama muda huo ni kwa sayari gani maana wakati mwingine inachanganya. Si mnakumbuka siku tatu alizo kuwa amepewa JK, watu mkadhani ni siku3, kwa mujibu wa saa za duniani! kumbe ilikuwa ni siku 3,kwa mujibu wa saa za Pluto!

You're right! Siku 90 za kuvua magamba nazo ndio kwanza mbichi maana hawa wanasiasa nadhani wanatumia siku za kimbingu kwamba siku moja ni miaka 1000; so 90 days you're talking of 90,000 years.
 
Haondoke aende wap nyie manyang'au wa siasa, alisema anajadiliana kwanza na viongozi wa UKAWA then ndio afanye maamuzi nadhani cha kujiuliza viongozi wa UKAWA wamemshauli nini? au shauku yenu ni kuona ameondoka.
 
Nadhani ipo haja sasa, mtu anapotoa muda fulani kufanya jambo fulani,aweke wazi kama muda huo ni kwa sayari gani maana wakati mwingine inachanganya. Si mnakumbuka siku tatu alizo kuwa amepewa JK, watu mkadhani ni siku3, kwa mujibu wa saa za duniani! kumbe ilikuwa ni siku 3,kwa mujibu wa saa za Pluto!

You're right! Siku 90 za kuvua magamba nazo ndio kwanza mbichi maana hawa wanasiasa nadhani wanatumia siku za kimbingu kwamba siku moja ni miaka 1000; so 90 days you're talking of 90,000 years.

Nakumbushia na ile miezi 6 ya Magula na watoa rushwa....
 
Alikua anatingisha kiberiti akizani atabembelezwa kumbe holaaaa.......
 
Back
Top Bottom