Utakuwa upo sahihi ikiwa tu na id malaria2 ni ya kwako
Tangu trh 22 mleta hoja amekuwa na ugonjwa wa kisonona kilichosababishwa na ushindi wa TAL . Kwa siku anaanzisha thread zaidi ya kumi ambazo zote zinamlengo hasi kwa TAL na kwa wale wote walikuwa timu yake ya ushindi