Lema kaka yangu nikufarijije?

Eti Lema mpambanaji, kwa lipi hasa hadi aitwe mpambanaji?.
The unseen is illustrated by the seen.

Ukiwa umetawaliwa na ujinga wa magamba huweziona upambanaji wake ila utaona anawacheleweshea ccm kwenye wizi
 

Mkuu yafaa ujaribu kuangalia kwanini ccm walitumia mbinu chafu tangia umeya na pamoja ma machafuko hawakujali na sasa wamehamia kwa mbunge huoni kuna kitu magamba wananufaika nacho hapo arusha? Isitoshe hata watumie njama gani jimbo la arusha kulirudisha ni ngumu na itasababisha vita isiyokwisha milele na hata magamba wenyewe wanalitambua hilo sema kuwa na policcm ndo jambo linalowapa kiburi
 

mpambanaji ni mzee wenu wa mipasho chini ya mshauri wake mzee wa kozomewa na mwandishi na... Nau... Kwa mbali akishirikiana na sharobaro wa kujifananisha na marehem sokoine pamoja na mweka chumvi lusinde na mzee wa kulalamika maig.....
 
Kaka ajuaye siri ya ujauzito ni kitanda, yeye anaishi mchambia wima mambo ya huku hawezi jua,hajua ametoka wapi anaenda wapi, ni mrukiaji wa mada pasipo kujua undani wa topic wala uhalisia wake,watu wa arusha ndio wanaojua umuhimu wa lema ndani ya huo mda mfupi alioongoza kama mbunge,

Je ni kiongozi gani alinyang'anywa uongozi mji ukazizima kwa huzuni? Mbona kaka yako maige amevuliwa uwaziri nchi nzima imefurahi je ni watanzania wangapi waliumizwa moyoni kwa hukumu ya lema?

Je wananchi wangapi wanamlaumu? Ogopa hadi baba yako,mama yako dada yako,kaka yako,shangazi,babu n.k wanamheshim mtu na kumjali kwa sababu ya dhamira ya kweli, endeleeni na kujichubua kwenu, sisi kazi kazi hadi tukukomboe, utake usitake la sivyo hama Tz
 
GODBLESS LEMA Tumpe moyo,tusiogope,umma utashinda daima
 

waberoya! karibu Mwanza. Hivi kutaja mtu aliempa mwanamke mimba ni kosa? Awe kaolewa, hajaolewa, kaoa, hajao, ni kosa? naomba unielimishe manake inaelekea vikao vingi vya koo mbalimbali vitakuwa hatiani.
 
A leader is one who knows the
way, goes the way, and shows
the way....Just like Mr. Lema himself!
 
Mbinu za kuwadiscourage wapambanaji zinazoratibiwa na watu wa jamii ya Waberoya na Ngongo hazina nafasi tena kwa Watanzania. Kwasasa hakuna anayeongelea suala la mimba ya Lowassa au mwanamke gani sijui, watu wanaongelea ukombozi wa Mtanzania kupitia M4C pioneered by Lema and the likes!

Nyie mnaoishi kwenye past world ya kufuatilia kauli za kiswahili za uchaguzi wa 2010, sorry-charlie, the world is no longer playing to your beat!
Mbegu anayopanda Lema sasa hivi ni Ukombozi, Elimu ya uraia, kujuza haki za raia zilizosiginwa, kuhamasisha, kuamsha, na kuandaa wananchi kuchukua nchi yao!

Harakati za Lema hazitasimama kwaajili yenu, na zaidi sana hamna uwezo wa kusimamisha mishale ya saa!..Siku hazigandi.
Huo ni UJUMBE KWENU!
 

Tambwe Hizza punguza jazba baba!
 
Kama Mungu aishivyo nawe utaishi,Ni wazi lema umewakamataCCM.nasi tutafunga nakuomba kwa ajili yako maana wewe ni tunda la Mungu.mtu awatumikiaye wenzie kwa dhati ni mtu wa Mungu.

Mungu ni pendo
 

sawa chalii
 
waberoya! karibu Mwanza. Hivi kutaja mtu aliempa mwanamke mimba ni kosa? Awe kaolewa, hajaolewa, kaoa, hajao, ni kosa? naomba unielimishe manake inaelekea vikao vingi vya koo mbalimbali vitakuwa hatiani.

vikao vya koo vinakuwa na vipaza sauti, kuwa mtu anasema mama yake nrashu ana mimba ya mwanaume yule asiye mme wake...halafu mnashangilia kwa makofi na vicheko......kashfa is how you speak not necessarily what you speak!! grow up!
 
God bless Gobless Lema,a like their politics and da way of aproaching.
 

Umesema mengi sana, kuna thread zangi nyingi tu ambazo nimemsifia sana Lema, na kuwa calober yake inahitajika sana nyakati hizi

sio kuwa natafuta ukamilifu ..la ...kufanya makosa ambayo yanagharimu chama, wananchi na mabadiliko kwa ujumla...hoja zake bungeni zinahitajika mno.......where is he??

ni kosa kubwa zaidi...Lema alijua anatufutwa, what made him to speak nonsense in the campaign??

acha afundwe asirudie....!!! kuna makosa hayasemeheki kirahisi na ndio maana akina andres escober walipigwa bastola alipofungisha timu yao mtu ambaye siku zote alikuwa anazuia magoli

niambie, Lema was wrong, is he regreting?? au kumtetea kwenu huku kuna mjenga au kumwongezea ujinga zaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…