Eti Lema mpambanaji, kwa lipi hasa hadi aitwe mpambanaji?.
The unseen is illustrated by the seen.
use paragraphs please
weka vituo
halafu ukweli wa Lema ni upi? kusema mwanamke yule kapewa mimba na fulani?? acheni ujinga msifikiri hizi ni mbao za matangazo ya ushabiki
Lema is just another disaster in this country1
siku zote akina mama wajawazito wanaheshimiwa , unasimama jukwaani unasema alipewa mimba na yule...badala ya kuuza sera za CDM? halafu ndiye hero wenu?
kama alilipenda jimbo alitakiwa kuwa makini na domo lake, after all mahamaka imejisafisha, mbona sehemu nyingi tu CDM wameshinda?
hivi nyie wenzetu akili mmeweka wapi?? kuweni realistic ujinga wa ushabiki huu ndio umeifanya CCM iwe hivi leo...use sense lets your parents feel they have you!!
kumbuka hii ni JF great thinking na hoja tu!
use paragraphs please
weka vituo
halafu ukweli wa Lema ni upi? kusema mwanamke yule kapewa mimba na fulani?? acheni ujinga msifikiri hizi ni mbao za matangazo ya ushabiki
Lema is just another disaster in this country1
siku zote akina mama wajawazito wanaheshimiwa , unasimama jukwaani unasema alipewa mimba na yule...badala ya kuuza sera za CDM? halafu ndiye hero wenu?
kama alilipenda jimbo alitakiwa kuwa makini na domo lake, after all mahamaka imejisafisha, mbona sehemu nyingi tu CDM wameshinda?
hivi nyie wenzetu akili mmeweka wapi?? kuweni realistic ujinga wa ushabiki huu ndio umeifanya CCM iwe hivi leo...use sense lets your parents feel they have you!!
kumbuka hii ni JF great thinking na hoja tu!
use paragraphs please
weka vituo
halafu ukweli wa Lema ni upi? kusema mwanamke yule kapewa mimba na fulani?? acheni ujinga msifikiri hizi ni mbao za matangazo ya ushabiki
Lema is just another disaster in this country1
siku zote akina mama wajawazito wanaheshimiwa , unasimama jukwaani unasema alipewa mimba na yule...badala ya kuuza sera za CDM? halafu ndiye hero wenu?
kama alilipenda jimbo alitakiwa kuwa makini na domo lake, after all mahamaka imejisafisha, mbona sehemu nyingi tu CDM wameshinda?
hivi nyie wenzetu akili mmeweka wapi?? kuweni realistic ujinga wa ushabiki huu ndio umeifanya CCM iwe hivi leo...use sense lets your parents feel they have you!!
kumbuka hii ni JF great thinking na hoja tu!
Scrap....!Jf is the place where we dare to talk openly. We unataka nimpende ili nikuridhishe? naandika kile kilicho moyoni mwangu.
The unseen is illustrated by the seen.
acha kukurupuka. kama hujui kitu bora unyamaze. labda kama umeahidiwa ulaji wa ukuu wa wilaya mpyaEti Lema mpambanaji, kwa lipi hasa hadi aitwe mpambanaji?.
The unseen is illustrated by the seen.
use paragraphs please
weka vituo
halafu ukweli wa Lema ni upi? kusema mwanamke yule kapewa mimba na fulani?? acheni ujinga msifikiri hizi ni mbao za matangazo ya ushabiki
Lema is just another disaster in this country1
siku zote akina mama wajawazito wanaheshimiwa , unasimama jukwaani unasema alipewa mimba na yule...badala ya kuuza sera za CDM? halafu ndiye hero wenu?
kama alilipenda jimbo alitakiwa kuwa makini na domo lake, after all mahamaka imejisafisha, mbona sehemu nyingi tu CDM wameshinda?
hivi nyie wenzetu akili mmeweka wapi?? kuweni realistic ujinga wa ushabiki huu ndio umeifanya CCM iwe hivi leo...use sense lets your parents feel they have you!!
kumbuka hii ni JF great thinking na hoja tu!
Mbinu za kuwadiscourage wapambanaji zinazoratibiwa na watu wa jamii ya Waberoya na Ngongo hazina nafasi tena kwa Watanzania. Kwasasa hakuna anayeongelea suala la mimba ya Lowassa au mwanamke gani sijui, watu wanaongelea ukombozi wa Mtanzania kupitia M4C pioneered by Lema and the likes!
Nyie mnaoishi kwenye past world ya kufuatilia kauli za kiswahili za uchaguzi wa 2010, sorry-charlie, the world is no longer playing to your beat!
Mbegu anayopanda Lema sasa hivi ni Ukombozi, Elimu ya uraia, kujuza haki za raia zilizosiginwa, kuhamasisha, kuamsha, na kuandaa wananchi kuchukua nchi yao!
Harakati za Lema hazitasimama kwaajili yenu, na zaidi sana hamna uwezo wa kusimamisha mishale ya saa!..Siku hazigandi.
Huo ni UJUMBE KWENU!
waberoya! karibu Mwanza. Hivi kutaja mtu aliempa mwanamke mimba ni kosa? Awe kaolewa, hajaolewa, kaoa, hajao, ni kosa? naomba unielimishe manake inaelekea vikao vingi vya koo mbalimbali vitakuwa hatiani.
Pamoja na hoja zako hizi zako zote hizi Wabes, sehemu moja unaposhindwa kujipambanua nikuwa ni kiasi gani gani unatarajia mambo kamilifu wengine wanaweza kuwa nayo katika harakati hizi mkuu.
Naamini katika mapungufu yetu kama watu hapo ndio ninapomsamehe Lema ila wewe na Ngongo mna-muhukumu, kuna point nyembamba sana mnaipuuzia kuwa level ya inteligency haiwezi kuwa sawa kati ya Lema na Mnyika au na Zito ila michango yao inaweza kulingana kutokana na aina ya siasa ya nchi yetu na watu wetu ila yote katika kujenga chama cha demokrasia na maendeleo (rejea harakati za M4C toka ziasisiwe).
Kwa point hii si sawa Wabes, ni lazima mrejee kwenye harakati za ujenzi wa Afrika huru enzi zile naomba mnitajie kiwango cha elimu cha Zuma na mchango wake kwa ANC.
Kwanini leo hii mnataka kulazimisha Lema awe sawa na zito au mnyika wakati na nyie ni Great Thinkers pia?
Unataka tuwe realistic? Sawa, hivi ni kweli kweli hujaona jema la Lema hata moja kweli? Naomba uniambie kuhusu msisimuko wa watu wa Atown na siasa za Atown umesababishwa na nini? Najua utataja factors zote ila ya mwisho lazima iwe Lema!
Wakuu mnaomchukia Lema lazima tukubaliane kuwa hizi ni siasa za Africa mwisho wa siku, sio haki kumpima kwa vipimo vya siasa za ulaya au America. Hebu tumpime kwa siasa za africa na sana Tanzania kwa kuzingatia uzoba wa watu wake na wa historia yake.
Hapa namaanisha katika kujenga siasa za harakati na kuwaamsha watu hawa kutoka kwenye huu uzoba na kulala (tunataka mtu wa namna gani?? Mi hapa naamini watz wanataka kiongozi wa mfano, sijui nyie)
Najua siwezi kukushawishi wewe na Ngongo juu ya hili sababu watz kwenye hizi forums huwa tuna tabia za kuweka ligi ili usionekane umefunikwa ila mjue kuwa pamoja na chuki zetu juu ya CCM, ila kuna masuala tumeamua kusamehe na kuayachukulia kuwa yalikuwa ni makosa ya taifa (Tukirejea yote ya TANU).
Namaanisha makosa ya TANU yalikuwa makubwa kuliko nyie mlivyoamua kumtundika Lema msalabani kwa makosa yake!!
Mnasahau kuwa hamna mkamilifu kati yetu sababu tu ya ubinaadamu.
Kwenye harakati za ukombozi wa taifa tunatafuta watu wenye manufaa kwenye eneo fulani na sio wenye mapungufu kwenye maeneo yote kama mnavyotaka kutuaminisha kuhusu Lema.
Mapungufu ya Lema nayachukulia kama mapungufu ya kibinaadamu ambayo tukitaka kuchimba tutayapata kwa kila mtu hata hao mnaowaaminia nyie.
Bado sijaona sababu ya kumtundika Lema msalabani kwenye harakati hizi zangu za mwisho!