Mbunge wa chadema godbless lema yuko hatian kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali
hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo wahahidi wananchi wa jimbo la arusha mjini
Karibu sana Arusha naona una post kama vile uko Malawi. Arusha CCM wananyata wanavizia vizia hawana amani. Hawawezi hata kupiga kampeni Juzi niliwaona wanafunga bendela za ccm kwenye nguzo umeme Uzunguni huku wamejihami na mapanga.
Karibu sana Arusha naona una post kama vile uko Malawi. Arusha CCM wananyata wanavizia vizia hawana amani. Hawawezi hata kupiga kampeni Juzi niliwaona wanafunga bendela za ccm kwenye nguzo umeme Uzunguni huku wamejihami na mapanga.
Mbunge wa CHADEMA Godbless Lema yuko hatiani kupoteza jimbo lake kufuatia kutokuungwa mkono na wanachi wa maeneo mbalimbali,hali hyoo imekuja kufuatia kushindwa kuteleleza ahadi zake nyingi alizo waahidi wananchi wa jimbo la Arusha Mjini.