Wewe mleta uzi ndo una hali tete,unahofu kibarua kitaota nyac ndo maana kila dakika unaweka post mpya,jiandae kutafuts ajira nyingine hiyo ya udalali wa kukodi malori ya kubeba watu wa kampeini na kubebea meno ya tembo mwisho 25/9,na hao majangiri lazma yafungwe,ww kwasababu ni kuli nakushauri usepe mapema kabla hakijanuka