ingawa sijui kwa kabila lenu msalani ni nini lakini kwa kabila letu la kimanyema msalani ni chooni,ukiachana na hayo maana yangu ni kwamba kama aliyekuwa ameshinda mwaka 2010 ni wa ccm na daftari la wapiga kura alijaboreshwa maana yake baadhi ya wana ccm wamempigia mgombea wa chadema,hiyo ndivyo kwa mtu yeyote anaweza kukuambia,sasa wewe kama ukubaliani na hilo lililo wazi basi baki kama ulivyoKwahiyo wale mliokuwa mnaongozana nao kwenye mikutano ya hadhara ni "magamba"? Sio wanachama wenu?
NA msigwa je kata zake ameganikiwa kuzikomboa..
mii aibu kati ya kata 32 chadema wanashinda mbili Tu na bado tunasema chama kinakubalika.. Kiukweli chadema kinasafari ndefu mno