Lema awashangaza waliokuwa wanambeza!

Lema awashangaza waliokuwa wanambeza!

na kujua lema ni another level anglia since amekuwa madarakan kila uchaguz ccm wanapata za uso balaa....he knows how to play his part!!
 
chadema badala ya kuimarisha chama wanalea migogoro, bure kabisa hawa watu bora kubaki na single party system tu
 
Hii ilidhihirika dhahiri baada ya kuongoza chama chake kuikwapua CCM kata ya Sombetini kwa kishindo pamoja propaganda zilizokua zinaenezwa kwamba hajafanya kitu na hakubaliki Arusha.
Walijaribu sana kuiba lakini kwa ujasiri wa kamanda Lema walishindwa,ndipo wakamua tu kumpiga bila kosa lolote
 
NA msigwa je kata zake ameganikiwa kuzikomboa..

mii aibu kati ya kata 32 chadema wanashinda mbili Tu na bado tunasema chama kinakubalika.. Kiukweli chadema kinasafari ndefu mno

naomba orodha ya hizo kata 32 kama unazijua
 
Khaa!! Kukiwa na kundi kubwa la walevi ni dhahir mlevi ndiyo ayakubalika
 
Kamanda hivi katika kata 27 Chadema imeshinda ngapi?
Hapa kinachozungumziwa ni Lema na ushindi wa Sombetini,ungechangia kulingana na mada unachokiuliza kipo nje ya mada, labda anzisha thread yako na uliza hilo swali.
 
Mahaba mengine ni ya kijinga sana. Unadai ushindi wa kishindo kwa kupishana kwa kura 2100 na 2600 ! Hebu kuwa mstaarabu bana!
huo ni ushindi wa kishindo kwa sababu jimbo hilo lilikuwa la ccm,hivyo wengi waliochagua chadema ni wana ccm
 
Acha kukufuru wewe kiumbe dhaifu, mapenzi yako na huyo jamaa yako yasivuke mipaka mpaka ukakosa ufahamu wa kujifahamu unatoka wapi na unakwenda wapi, hakuna atakayeishi milele!

kumbe mnajua kuwa hakuna anayeishi milele! mi nilifikiri hamjui, sasa ufisadi, chuki, mauaji, mateso, wizi, uongo vyote hivyo vya nini wakati iko siku mtakufa?
 
Hii ilidhihirika dhahiri baada ya kuongoza chama chake kuikwapua CCM kata ya Sombetini kwa kishindo pamoja propaganda zilizokua zinaenezwa kwamba hajafanya kitu na hakubaliki Arusha.

Hana chochote zaidi ya ukabila bila ubishi wewe lazima utakuwa mchaga
 
Back
Top Bottom