Lema awashangaza waliokuwa wanambeza!

Lema awashangaza waliokuwa wanambeza!

Mahaba mengine ni ya kijinga sana. Unadai ushindi wa kishindo kwa kupishana kwa kura 2100 na 2600 ! Hebu kuwa mstaarabu bana!

Kura hizo ccm ilizozipata ni za maruhani,amini usiamini kura hizo ccm Arusha haiwezi kuzipata ndani ya kata moja lakini yote kwa yote tofauti hiyo uisemayo ndiyo iliyowapora JIJI na kuliweka katika mikono salama ya CHADEMA.
 
ccm walijigamba hapa jf sombetini ni yao,vijana wa sombetini ilipofika saa kumi wakaimba, diwani wetu mapanga ni yao! na kweli wakampata bananga ccm wakabaki na mapanga yao waliowakata nayo chadema,kweli cdm ni mpango wa mungu..
 
Lema ni moja ya wanasiasa wenye maono makubwa sana,itakuwa ngumu sana watu kumuelewa.nilikuwa simuungi mkono ila baada ya kumuelewa sina haja ya kuendelea kukumbatia propaganda za kiccm tena. Nipo na makamanda sasa.

Kula like
 
walio kura pesa za ccm kumchafua mh lema ,mawazo na bananga ili washinde sombetin
watwambie sasa mwigulu, nape na kinana walicho wafanya cz dawa ya den kulipa tuna jua mnateseka namna ya kukaa polen sana pesa za magamba haziliwi bule
lema ni moto wa kuotea mbali katika siasa za afrika masharik na kati
 
Pamoja na kufanya vibaya kwenye uchaguzi wa Jana,
ila kamanda lema anahitaji pongezi...Anajitahidi sana kuijenga CDM upande wa Arusha.

makamanda acheni mahaba ya ajabu...kama lema ndo anaipaisha CDM arusha, mbona alishindwa kuipaisha TLP alipokuwa huko?!
kuna baadhi ya maeneo ktk nchi yetu watu wameichoka sana ccm bila kujali upinzani umemsimamisha nani - arusha, moshi, karatu pamoja na kigoma ni baadhi ya sehemu hizo!!
lema kakuta jina la CDM linang'ara tayari ndo maana akaamua kujiunga akijua ndoto zake kwenda mjengoni hatimaye zitaweza kutimia!!!!!!
 
Mahaba mengine ni ya kijinga sana. Unadai ushindi wa kishindo kwa kupishana kwa kura 2100 na 2600 ! Hebu kuwa mstaarabu bana!

Wewe ndo unakosa ustaarabu, kumbuka hii ilikuwa kata ya ccm. Sasa kama unaona tofaut ya kura 500 ni kidogo bas wewe ndo unakosa kuwa mstaraabu.
 
The guy is so brilliant,Yes he has his own mistake ila for real Jamaa anawapa headache sisiemu

Eti kuna wanaojidangaya kumlinganisha lema na wasaliti.wapi?? jamaa karudisha kata za jimbo lake na kupokonya ccm.Nani kama lemaaa.yeye atosha
 
Tunaoujua uchekbob wa Lema. Tunashangaa sana mnavyomsifia hapa.
 
NA msigwa je kata zake ameganikiwa kuzikomboa..

mii aibu kati ya kata 32 chadema wanashinda mbili Tu na bado tunasema chama kinakubalika.. Kiukweli chadema kinasafari ndefu mno
Jamani magamba ni shida, hizo kata 32 zilikuwa wapi?? Kapige mswaki uende shule.
 
Hiyo ndio saparaiz unayoitaja? ati mumekwapua jimbo la sombetini.... Chopa tatu kata 3 sasa ikija kata elfu kadhaa nchi nzima mtatumia chopa ngapi?... Tunajivunia ushindi wa kishindo na hatutishiki na kuikosa sombetini . Hii ni indiketa au dira kwenu kuwa wananchi wapiga kura hawadanganyiki na matanuzi ya chopa... wao wanataka utekelezaji wa ilani za chama. Sasa ilani ya CDM nyie ni maandamano tu na vurugu......POLE
Hii ilidhihirika dhahiri baada ya kuongoza chama chake kuikwapua CCM kata ya Sombetini kwa kishindo pamoja propaganda zilizokua zinaenezwa kwamba hajafanya kitu na hakubaliki Arusha.
 
Hii ilidhihirika dhahiri baada ya kuongoza chama chake kuikwapua CCM kata ya Sombetini kwa kishindo pamoja propaganda zilizokua zinaenezwa kwamba hajafanya kitu na hakubaliki Arusha.

kweli baba ukifuata siasa za lema za kiharakati sana unaweza ukafa nazifanananisha za mandela na makaburu kule afrika kusini
 
Back
Top Bottom