Lema awashangaza waliokuwa wanambeza!

Lema awashangaza waliokuwa wanambeza!

Baba C

Senior Member
Joined
Mar 15, 2012
Posts
125
Reaction score
55
Hii ilidhihirika dhahiri baada ya kuongoza chama chake kuikwapua CCM kata ya Sombetini kwa kishindo pamoja propaganda zilizokua zinaenezwa kwamba hajafanya kitu na hakubaliki Arusha.
 
Lema ni moja ya wanasiasa wenye maono makubwa sana,itakuwa ngumu sana watu kumuelewa.nilikuwa simuungi mkono ila baada ya kumuelewa sina haja ya kuendelea kukumbatia propaganda za kiccm tena. Nipo na makamanda sasa.
 
Hawana kadi wana gwanda labda wakutumie hilo.
 
ile id ya aminangalo imekufa rasmi jana...mwanamke unamtoroka mumeo wiki 2 kumchafua kamanda sijui kama ndoa yake bado ipo..
 
ile id ya aminangalo imekufa rasmi jana...mwanamke unamtoroka mumeo wiki 2 kumchafua kamanda sijui kama ndoa yake bado ipo..

Hivi hawa aminangalo ifweero Chabruma Lizaboni &Co. waliokuwa wanajidai wanaijua Arusha wamekimbilia wapi??
Aminangalo atakuwa hoi coz kina Nape watakuwa wamempa shughuli ya kutosha na sasa wamemtema
 
Last edited by a moderator:
Awasamprize!! Kamanda sijakupata hapa una maanisha nini.
 
NA msigwa je kata zake ameganikiwa kuzikomboa..

mii aibu kati ya kata 32 chadema wanashinda mbili Tu na bado tunasema chama kinakubalika.. Kiukweli chadema kinasafari ndefu mno
 
Awasamprize!! Kamanda sijakupata hapa una maanisha nini.

Ku-suprise ni kufanya kama wewe babu mzima unavyobadilisha ID kila dakika, mara ujivike ushungi kama mwanamke, mara hivi mara vile. Umezeeka vibaya babu wewe! Kwanini usije na ile ID yako ya kweli ili uwape wenzio ''elmu wafyonze''?
 
Hii ilidhihirika dhahiri baada ya kuongoza chama chake kuikwapua CCM kata ya Sombetini kwa kishindo pamoja propaganda zilizokua zinaenezwa kwamba hajafanya kitu na hakubaliki Arusha.

Mahaba mengine ni ya kijinga sana. Unadai ushindi wa kishindo kwa kupishana kwa kura 2100 na 2600 ! Hebu kuwa mstaarabu bana!
 
Lema ni moja ya wanasiasa wenye maono makubwa sana,itakuwa ngumu sana watu kumuelewa.nilikuwa simuungi mkono ila baada ya kumuelewa sina haja ya kuendelea kukumbatia propaganda za kiccm tena. Nipo na makamanda sasa.

The guy is so brilliant,Yes he has his own mistake ila for real Jamaa anawapa headache sisiemu
 
NA msigwa je kata zake ameganikiwa kuzikomboa..

mii aibu kati ya kata 32 chadema wanashinda mbili Tu na bado tunasema chama kinakubalika.. Kiukweli chadema kinasafari ndefu mno
samahani mkuu, hapo kwenye red, wamekufanya nini?????
 
Ishi milele daima kamanda Lema

Acha kukufuru wewe kiumbe dhaifu, mapenzi yako na huyo jamaa yako yasivuke mipaka mpaka ukakosa ufahamu wa kujifahamu unatoka wapi na unakwenda wapi, hakuna atakayeishi milele!
 
Lema ni moja ya wanasiasa wenye maono makubwa sana,itakuwa ngumu sana watu kumuelewa.nilikuwa simuungi mkono ila baada ya kumuelewa sina haja ya kuendelea kukumbatia propaganda za kiccm tena. Nipo na makamanda sasa.

lema anastahili sifa kwan ni kamanda zaid ya che guavara
 
Pamoja na kufanya vibaya kwenye uchaguzi wa Jana,
ila kamanda lema anahitaji pongezi...Anajitahidi sana kuijenga CDM upande wa Arusha.
 
Back
Top Bottom