Lema: Arusha hakuna CCM

Lema: Arusha hakuna CCM

Godbless J Lema

Arusha MP
Joined
Sep 28, 2013
Posts
92
Reaction score
2,205
Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri CCM iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti.

Arusha sitarajii kushindana na CCM ila CCM wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema
 
Mkuu usijaribu kufuta mjadala ambao ni wakotaifa kuhusu utesaji na ugaidi uliofanyika kwenye chumba cha kutesea watu pale ufipa Guantanamo!

Na mnukuu Khalidi

" “Jamani hiki chama ambacho kina ndoto
ya kuchukua nchi leo kinaandaa
mipango ya mauaji na utesaji kama
walivyonifanyia? Maana wameniteka na
kunifungia kwenye chumba cha utesaji
wanachomiliki wao wamechoma visu na
kuweka kwenye Mashine ya umeme bila
kosa lolote, eti wakinishinikiza mimi
nitaje wanaonituma, jamani nawaambia
mimi hanitumi mtu” ameedelea kusema
Kagenzi.
 
Zitto hawa hapa wanafiki wako.
 
Last edited by a moderator:
....

.....Na majengo ya ccm Arusha yarudishwe kwa wananchi yatumike kwa shughuli za umma !!!

Mkuu nani mmiliki wa funguo za chumba cha kutesea watu pale Guantanamo ufipa?
 
Mimi siishi Arusha but imenishangaza kuona kuna watu wengi mno wanataka kugombea ubunge Arusha mjini
nilifikiri wau watakata tamaa kwa nguvu ya CHADEMA huko but hadi sasa nawajua watu karibia nane wanataka ubunge...
kama vile wanaona jimbo ni easy kulichukua
 
Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri ccm iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti `. Arusha sitarajii kushindana na ccm ila ccm wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema

Hivi tukitoa swala la maandamano wana Arusha wana jivunia nini kutoka kwako?
 
Asante sana Kamanda , ukweli huo unajulikana hata nje ya nchi , tunakushukuru sana kwa kuikomboa Arusha na kuipatia uhuru wa kweli , hatuna cha kukupa mkuu ila uhakika ni kwamba Mungu atukulipa jasho lako .
 
Jamani naomba niseme hivi October 2015 sio mbali ila ukweli lazima usemwe.. CHADEMA wanao uwezo wa kushinda Arusha bila hata kampeni na huu ndio ukweli
 
....

.....Na majengo ya ccm Arusha yarudishwe kwa wananchi yatumike kwa shughuli za umma !!!

ni hivi , ccm haijawahi kuwa na majengo mahali popote nchi hii , wamepora nyumba za umma na kujimilikisha hata kinana hili analijua .
 
Maccm bwana, comment zao ni utumbo, hata kama lema kaleta maandamano tu arusha bt je mtamshinda huyu kamanda hlo ndo swala la msingi, je magamba mtapenya arusha october? Hayo mengne n propaganda za kinape tu.
 
Wapumbavu wa ccm na wenye laana za watanzania watakuja na majibu ya kihanisi.pamoja Lema umenena vyema
 
Jamani naomba niseme hivi October 2015 sio mbali ila ukweli lazima usemwe.. CHADEMA wanao uwezo wa kushinda Arusha bila hata kampeni na huu ndio ukweli

....Arusha uchaguzi ulishapita kisheria tu ndo tunasubiri kuapishwa tena !!!!
 
Tafadhali naheshimu mawazo ya kila Mtu hata wajinga wakisema ujinga ninaweza kuvumilia . Lakini hili la kufikiri ccm iko Arusha ni jambo la hatari sana ni sawa na kufikiri kuwa twiga anaweza kuwa rais wa Tanzania kwa sababu picha yake inaonekana katika noti `. Arusha sitarajii kushindana na ccm ila ccm wanasubiri kushindwa tena kata zote na Jimbo . Lema

....Jimbo la Arumeru Magharibi tunasubiri Chadema itangazwe mshindi olemedeye kwa heriiii
 
Hivi tukitoa swala la maandamano wana Arusha wana jivunia nini kutoka kwako?

We kenge sana unataka akuletee nini?kwani Lema anakusanya kodi?au unataka akuletee pesa mkononi .kutufungua kiakili Ni maendeleo tosha.wewe ndo unatakiwa uifanyie nini Arusha na si mbunge.kuwa na akili wewe mke wa kinana
 
Back
Top Bottom