Lema 'anasakwa' Jijini Arusha

Chadema wanatumia nguvu kubwa Arusha wanafikiri nchi inaongozwa kwa kushinda Arusha!
 
Awareness. Watu wameshajua nini kinatakiwa. Lema sio jembe tu bali sururu hah hah
 
kumbe na wewe hujui?mpango mzima ni kuwaandikisha wale ambao mlengo wao unajulikana wa kifisadi zaidi na ni kwa nchi nzima angalieni sana ikibidi iwe mapema kieleweke tuanze na watendaji watuandikishe hatuwaombi! ni haki yetu wanajua wamepitwa na wakati wanakumbukumbu ya 2010 asilimia 52 ya wa tz. wakaamua kusingizia kwamba hawakupiga kura!kumbe wapi!!!
 
Chadema wanatumia nguvu kubwa Arusha wanafikiri nchi inaongozwa kwa kushinda Arusha!

Hata mto Rufiji umeamza kwa kuchangiwa maji na vijito vidogo vidogo bali huko unakomalizia ni mkubwa mno.

Mto wa upinzani halikadhalika umeanza hivyo,hatimaye unazidi kuwa mkubwa. Arusha, mbeya,kigoma,iringa,Dar,Mara,mpanda, kilimanjaro,Karatu,Zanzibar,pemba,mtwara....
 
huyu jamaa alishazoea kusakwa na polisi kwahiyo si ajabu kwetu kusikia akitafutwa na polisi
 
huyu jamaa alishazoea kusakwa na polisi kwahiyo si ajabu kwetu kusikia akitafutwa na polisi

Mmbea mpe heading tu, story atatunga mwenyewe, lol mkuu usiwe unaishia kwenye heading tu
 
Huyu ndo professor, mbunifu sana. Hapo wa kwanza kusoma watakuwa ni magamba na mapolisi.
 
huyu jamaa alishazoea kusakwa na polisi kwahiyo si ajabu kwetu kusikia akitafutwa na polisi

Limumba!!! Someni maudhui acheni wenge. Yaani wewe ni mmenya vitunguu jikoni.
 
Mtaa wa Bondeni mjini kati ni mtaa wa CCM utake usitake.

si mtaa tu mji wote kwa sasa wamemchoka Lema, wanataka mbunge mwenye kujitambua, lema anafanya mambo yake kitoto mno angalia sasa hilo tangazo very childish, huyu jamaa hakui tu
 
Hapo wanamaanisha anatafutwa Mtu wa CALIBRE ya Mh. Lema nasi kumaanisha Lema anataftwa na polis
 
Chadema ni Chama Makini sijapata ona...

Hongera Jemedari Lema pamoja na timu nzima ya Makamanda hapo Arusha..
 
Lema amemuiga mdogo wake Sheikh Yahya aliyeibuni hii 2010

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…