Boko haram
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 3,253
- 1,229
Jana nilikuwa nasikiliza kituo kimoja cha radio hapa Arusha nikamsikia lema anasema mkuu wa mkoa ni mjinga asifikiri Arusha ni Bagamoyo vipi wana jf imekaaje hii?
Jana nilikuwa nasikiliza kituo kimoja cha radio hapa Arusha nikamsikia lema anasema mkuu wa mkoa ni mjinga asifikiri Arusha ni Bagamoyo vipi wana jf imekaaje hii?
inaruhusiwa kamamkuu wa mkoa kafanya mambo kijinga ndio maana ameambiwa mjinga, maana mjinga ni mtu asiye na elimu ktk jambo alilofanyaujinga ni heirarchy kwenye dhana ya elimu
Sio kiherehere tu pia yupo kwa maslahi ya kisiasa na sio kufanya kazi. Arusha itamshinda labda atarudishwa pwaniMkuu wa mkoa ana kiherehere sana