Legacy ya Samia Suluhu Hassan ni ipi?

.mipasho na kuongea kma chiriku
 
Mpumbavu daima huwazia tumbo lake.
Ulitaka niwazie tumbo la baba ako?

Watu wanahitaji huduma za jamii zenye bei nafuu, uchumi jumuishi, punguzo la makali ya bidhaa... na sio hayo makaratasi ya katiba mnayotumia kugawana vyeo.
 
watu wameacha kutishwa, kuteswa na kupotea potea kwa kiwango kikubwa. ingawa bado njaa ya mifukoni ipo ila tuna amani rohoni walau mtu una uhakika kwamba utaamka kwenda kwenye mihangaiko yako na kurudi nyumbani salama.
 
Bei ya Petrol Zanzibar ni sh ngapi na Bei za Bara ni kiasi Gani?

Kwann Nchi yenye watu Zaid ya mil50 ikope halafu igawane sawa mkopo na Nchi yenye watu ml2?

Kwann Bei za mbolea zimepanda Kwa 400% Kutoka march 2021 Hadi July 2022?
 
Bei ya Petrol Zanzibar ni sh ngapi na Bei za Bara ni kiasi Gani?

Kwann Nchi yenye watu Zaid ya mil50 ikope halafu igawane sawa mkopo na Nchi yenye watu ml2?

Kwann Bei za mbolea zimepanda Kwa 400% Kutoka march 2021 Hadi July 2022?
Kaulize unamuuliza nani?
 
Kwann hawafukuzi KAZI Makamba, Mwigulu ktk UWAZIRI?

Kwann anapuuza sauti ya wengi?
 
watu wameacha kutishwa, kuteswa na kupotea potea kwa kiwango kikubwa. ingawa bado njaa ya mifukoni ipo ila tuna amani rohoni walau mtu una uhakika kwamba utaamka kwenda kwenye mihangaiko yako na kurudi nyumbani salama.
Kama vitisho vimeisha, iweje NDUGAI aondolewe Kwa HILA aliposema Kweli?

Mfano ruzuku ya Bil 100 ya Kila mwezi imepunguza mfumuko wa Bei Kwa kiasi Gani?
 
Unafahamu mbio za kupokezana vijiti? Kama unafahamu yeye amepokea kijiti kutoka kwa chizi. Ugumu anaokutana nao na kuutatua ndiyo mafanikio yake.
Huyo Chizi ndie tunaemuenzi sisi!

Huyu mlamba asali wenu anawafurahisha nyinyi wenye nacho ikiwemo na vyeti fake!
 

Hii vita ya Urusi na ile hali ilivyokuwa mbaya chini ya Jiwe, Tungepotea kabisa.

Vitu vipo juu na watu wananua power ya demand and supply hiyo uchumi upo safi.
 
Wengi kama nani? Kenge kama wewe au?

Awafukuze Kazi Kwa sababu zipi?

.mipasho na kuongea kma chiriku
Nitakuwa wa kwanza KUSIFIA ikiwa yafuatayo yatatimia ktk Nchi yangu TANZANIA.

1. Tanzania itakapozikopesha Nchi maskini Africa na mabara mengine.

2. Viongozi watakapobadili fikra na Kuitazama Kwa UTAJIRI ilionao, maana ni TAJIRI no 2. Africa nzima Kwa kubarikiwa raslimali.

3. Mawaziri wasitokane na wabunge.

4. Wataalamu walipwe zaidi kuliko wanasiasa kuzuia wataalamu kuacha profession zao.

5. Tutakapokuwa namba 1 ktk uzalishaji wa chakula Africa, kilimo Cha kisasa Kwa mapato ya ndani.

6. Dhahabu na madini mengine Nchi itafute Wawekezaji wa ndani na nje, tuwalipe 20% na tubakie na 80% sababu sie ndo wenye Mali.

7. Tutakapofanikiwa kurudisha PESA zote zilizotoroshwa na wezi ktk mabenki ya nje.
 
Kama vitisho vimeisha, iweje NDUGAI aondolewe Kwa HILA aliposema Kweli?

Mfano ruzuku ya Bil 100 ya Kila mwezi imepunguza mfumuko wa Bei Kwa kiasi Gani?
Ndugai alikuwa anautest utemi aliouasisi babake kama bado upo na unafanya kazi, karushwa kama samaki aliyemeza chambo cha wenyewe dadadeq.
 
tuna rais wa hovyo wa kwanza na wa mwisho kutokea duniani,
mungu atusaidie tu tuvuke salama
Wenzio wanakamatia fursa,we unakamatia ujinga,unataka Rais akujaze pesa mfukoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…