Legacy ya Samia Suluhu Hassan ni ipi?

Unamaanisha majizi siku hizi hamsumbuliwi na TRA?
We umasikini unakusumbua, unahisi na mlivyokalilishwa na jiwe kwamba mtu kuwa masikini ndio uzalendo, na matajiri wote majizi,

Subiri upewe nishani ya kuwa masikini mzalendo,
Jiwe ameharibu Sana mentality yenu nyie majinga
 
tuna rais wa hovyo wa kwanza na wa mwisho kutokea duniani,
mungu atusaidie tu tuvuke salama
We kazi kufanya utaki unauza mak''alio yako, Utamuonaje Rais anafaa au serikali inafaa,

Jinga kabisa
 
Tutakumbuka tu kuna miaka fulani maisha yalitupeleka Mvomero Kuchumba Chima yani heri ungezaliwa enzi za ujima
 
Wewe tuambie umeona mangapi na yapi Bado hujayaona🤔
 
Ona huyu MPUMBAVU umeulizwa ipi ni Legacy yake haujaulizwa mwendelezo wa legacy ya mwingine. Hayo mambo mengine yalishakuwepo tokea awamu zingine
 
We hufanyi kazi yoyote zaidi ya kudanga,utaonaje alichokifanya Rais au serikali??! Sisi wafanyabiashara sasaivi hatusumbuliwi na TRA Wala kuchota pesa kwenye account zetu Kama kipindi Cha bwana yule, wafanyakazi wameboreshewa maslai yao
Unazungumzia wafanyabiashara hawa wanaodunduliza kufungua vi MPesa alafu wanatozwa tozo za hovyo hovyo? Au unadhani watanzania wote ni wafanyabiashara?
 
Kwani kamaliza muda Wake? Kwanza anachotakiwa kufanya ni kumaliza miradi ya JPM halafu akipewa nchi kwa kura aje na ya kwake. Miradi imesimama? Kama haijasimama mengine yote ni porojo.
 
Legacy is mostly made by dead people. Ila sasa we have a chance to create our own legacy while we are alive. Why did I say legacy is made by the dead? Kwa sababu these ideas, creation, innovation etc will last for generations to come. .

So far I havent seen the difference ila mda utampa nafasi ya kuleta mabadiliko yatakayokumbkwa vizazi na vizazi. Soon to tell. .
 
LEGACY ya huyu mtu Mimi nina hakika ukiweza kukamata vile vindege vinavyoitwa MBAYU WAYU Huku IRiNGA tuna viita ViLAMBA MVUA ukiviuliza legacy ya mama SSH vitakwambia Leo tulikuwa nae SENEGAL, mara , OMAN, DUBAI, UAE, UBELGIJI, PARIS, USA, shida tu vindege hivi havikamatiki kwa manati au mtego havili pumba ila nikujirusha juu kwa juu na ukibahatika kuonana na kimbayuwayu Cha kienyeji kitakwambia legacy ya mama yenu SSH tulipishana na sauti yake alivyopiga simu kwenye mkutano wa viongozi wa dini hapa Mbeya, tulipishana na sauti yake kwemye mlima Inyala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…