haha
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 1,400
- 1,628
Kiukweli wahenga hawajawahi kukosea kila walichokisema hutokea
Mfano!!! Ivumayo haidumu,Ngoma ililia sana jua inapasuka!!! Mbio za sakafuni huishia ukingoni!!! Na mingine mingi tuuuuu
Sasa sisi wazee wa legacy tupo hoi!!!
Kwa sasa kila jiwe lina geuzwa "juuu chini chini juuu" tatizo nn! Mbona hali imekuwa hivi!
1) Waliozuiwa wasiende shule kisa mimba sasa ruksa
2) Waliokuwa watendaji na kisifiwa wengi chaliiiiii wengine kumbe majambaz!!!
3) Bandari ya "bwaga moyo" ruksa
4) Uchumi wa kati kumbe ilikuwa hadaa alikuwa ni kopakopa!!!
5) Kale kakitongoji kuwa mkoa Noooooooo!!!
6) Madaraja juuu
7) Biashara na majirani iko poa!!!
8) Bwawa letu pendwa lilichokua mabilion halina maji!
9) Kufundisha uzalendo kwa kiswahili !!! Nooooo tupa kuleeee!
Sasa hata mwaka haujaisha legacy inayayuka mithili ya jibini katika jua Kali! Vipi ikiisha miaka mtano!
Tuheshimu wahenga
Mfano!!! Ivumayo haidumu,Ngoma ililia sana jua inapasuka!!! Mbio za sakafuni huishia ukingoni!!! Na mingine mingi tuuuuu
Sasa sisi wazee wa legacy tupo hoi!!!
Kwa sasa kila jiwe lina geuzwa "juuu chini chini juuu" tatizo nn! Mbona hali imekuwa hivi!
1) Waliozuiwa wasiende shule kisa mimba sasa ruksa
2) Waliokuwa watendaji na kisifiwa wengi chaliiiiii wengine kumbe majambaz!!!
3) Bandari ya "bwaga moyo" ruksa
4) Uchumi wa kati kumbe ilikuwa hadaa alikuwa ni kopakopa!!!
5) Kale kakitongoji kuwa mkoa Noooooooo!!!
6) Madaraja juuu
7) Biashara na majirani iko poa!!!
8) Bwawa letu pendwa lilichokua mabilion halina maji!
9) Kufundisha uzalendo kwa kiswahili !!! Nooooo tupa kuleeee!
Sasa hata mwaka haujaisha legacy inayayuka mithili ya jibini katika jua Kali! Vipi ikiisha miaka mtano!
Tuheshimu wahenga