Legacy inapoyeyuka mithili ya jibini juani

haha

JF-Expert Member
Apr 21, 2013
1,400
1,628
Kiukweli wahenga hawajawahi kukosea kila walichokisema hutokea
Mfano!!! Ivumayo haidumu,Ngoma ililia sana jua inapasuka!!! Mbio za sakafuni huishia ukingoni!!! Na mingine mingi tuuuuu
Sasa sisi wazee wa legacy tupo hoi!!!
Kwa sasa kila jiwe lina geuzwa "juuu chini chini juuu" tatizo nn! Mbona hali imekuwa hivi!
1) Waliozuiwa wasiende shule kisa mimba sasa ruksa
2) Waliokuwa watendaji na kisifiwa wengi chaliiiiii wengine kumbe majambaz!!!
3) Bandari ya "bwaga moyo" ruksa
4) Uchumi wa kati kumbe ilikuwa hadaa alikuwa ni kopakopa!!!
5) Kale kakitongoji kuwa mkoa Noooooooo!!!
6) Madaraja juuu
7) Biashara na majirani iko poa!!!
8) Bwawa letu pendwa lilichokua mabilion halina maji!
9) Kufundisha uzalendo kwa kiswahili !!! Nooooo tupa kuleeee!

Sasa hata mwaka haujaisha legacy inayayuka mithili ya jibini katika jua Kali! Vipi ikiisha miaka mtano!
Tuheshimu wahenga


FB_IMG_1635622772254.jpg
 
Kiukweli wahenga hawajawahi kukosea kila walichokisema hutokea
Mfano!!! Ivumayo haidumu,Ngoma ililia sana jua inapasuka!!! Mbio za sakafuni huishia ukingoni!!! Na mingine mingi tuuuuu
Sasa sisi wazee wa legacy tupo hoi!!!
Kwa sasa kila jiwe lina geuzwa "juuu chini chini juuu" tatizo nn! Mbona hali imekuwa hivi!
1) Waliozuiwa wasiende shule kisa mimba sasa ruksa
2) Waliokuwa watendaji na kisifiwa wengi chaliiiiii wengine kumbe majambaz!!!
3) Bandari ya "bwaga moyo" ruksa
4) Uchumi wa kati kumbe ilikuwa hadaa alikuwa ni kopakopa!!!
5) Kale kakitongoji kuwa mkoa Noooooooo!!!
6) Madaraja juuu
7) Biashara na majirani iko poa!!!
8) Bwawa letu pendwa lilichokua mabilion halina maji!
9) Kufundisha uzalendo kwa kiswahili !!! Nooooo tupa kuleeee!

Sasa hata mwaka haujaisha legacy inayayuka mithili ya jibini katika jua Kali! Vipi ikiisha miaka mtano!
Tuheshimu wahenga


View attachment 2024232
Legacy ya ukatili itadumu daima dumu.
 
Kiukweli wahenga hawajawahi kukosea kila walichokisema hutokea
Mfano!!! Ivumayo haidumu,Ngoma ililia sana jua inapasuka!!! Mbio za sakafuni huishia ukingoni!!! Na mingine mingi tuuuuu
Sasa sisi wazee wa legacy tupo hoi!!!
Kwa sasa kila jiwe lina geuzwa "juuu chini chini juuu" tatizo nn! Mbona hali imekuwa hivi!
1) Waliozuiwa wasiende shule kisa mimba sasa ruksa
2) Waliokuwa watendaji na kisifiwa wengi chaliiiiii wengine kumbe majambaz!!!
3) Bandari ya "bwaga moyo" ruksa
4) Uchumi wa kati kumbe ilikuwa hadaa alikuwa ni kopakopa!!!
5) Kale kakitongoji kuwa mkoa Noooooooo!!!
6) Madaraja juuu
7) Biashara na majirani iko poa!!!
8) Bwawa letu pendwa lilichokua mabilion halina maji!
9) Kufundisha uzalendo kwa kiswahili !!! Nooooo tupa kuleeee!

Sasa hata mwaka haujaisha legacy inayayuka mithili ya jibini katika jua Kali! Vipi ikiisha miaka mtano!
Tuheshimu wahenga


View attachment 2024232

Muosha Uoshwa;
 
Kiukweli wahenga hawajawahi kukosea kila walichokisema hutokea
Mfano!!! Ivumayo haidumu,Ngoma ililia sana jua inapasuka!!! Mbio za sakafuni huishia ukingoni!!! Na mingine mingi tuuuuu
Sasa sisi wazee wa legacy tupo hoi!!!
Kwa sasa kila jiwe lina geuzwa "juuu chini chini juuu" tatizo nn! Mbona hali imekuwa hivi!
1) Waliozuiwa wasiende shule kisa mimba sasa ruksa
2) Waliokuwa watendaji na kisifiwa wengi chaliiiiii wengine kumbe majambaz!!!
3) Bandari ya "bwaga moyo" ruksa
4) Uchumi wa kati kumbe ilikuwa hadaa alikuwa ni kopakopa!!!
5) Kale kakitongoji kuwa mkoa Noooooooo!!!
6) Madaraja juuu
7) Biashara na majirani iko poa!!!
8) Bwawa letu pendwa lilichokua mabilion halina maji!
9) Kufundisha uzalendo kwa kiswahili !!! Nooooo tupa kuleeee!

Sasa hata mwaka haujaisha legacy inayayuka mithili ya jibini katika jua Kali! Vipi ikiisha miaka mtano!
Tuheshimu wahenga


View attachment 2024232
Sidhani kama huwa unapanda ndege wala kupita kwenye flyover
 
Ukweli ni kwamba kuwapambania Binadamu inahitaji moyo sana, na pia utendapo mazuri usitegemee kupokea mazuri hii ni ili ule usemi wa " tenda mema nenda zako...".

JPM alifanya mazuri na mabaya pia, lakini mazuri yalikuwa mengi zaidi, lakini wapi!!! watu wanasimanga na kuona mabaya yake tu na siyo wapinzani tu bali hata watu waliokuwa karibu naye.

Nimalize kwa kusema, Watanzania wanaona yanayoendelea kwahiyo hawa vinyonga hawatadumu milele.
 
Kiukweli wahenga hawajawahi kukosea kila walichokisema hutokea
Mfano!!! Ivumayo haidumu,Ngoma ililia sana jua inapasuka!!! Mbio za sakafuni huishia ukingoni!!! Na mingine mingi tuuuuu
Sasa sisi wazee wa legacy tupo hoi!!!
Kwa sasa kila jiwe lina geuzwa "juuu chini chini juuu" tatizo nn! Mbona hali imekuwa hivi!
1) Waliozuiwa wasiende shule kisa mimba sasa ruksa
2) Waliokuwa watendaji na kisifiwa wengi chaliiiiii wengine kumbe majambaz!!!
3) Bandari ya "bwaga moyo" ruksa
4) Uchumi wa kati kumbe ilikuwa hadaa alikuwa ni kopakopa!!!
5) Kale kakitongoji kuwa mkoa Noooooooo!!!
6) Madaraja juuu
7) Biashara na majirani iko poa!!!
8) Bwawa letu pendwa lilichokua mabilion halina maji!
9) Kufundisha uzalendo kwa kiswahili !!! Nooooo tupa kuleeee!

Sasa hata mwaka haujaisha legacy inayayuka mithili ya jibini katika jua Kali! Vipi ikiisha miaka mtano!
Tuheshimu wahenga


View attachment 2024232
Mikopo vyuo vikuu na riba na adhabu Nooooo
 
Back
Top Bottom