DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,519
- 21,436
habari za sahizi great thinkers.
ni mtazamo tu, kwa ule mpira wa leeds united jana dhidi ya liverpool sidhani kama watashuka daraja msimu huu, na watajiokotea wabovu wengi sana, timu kama southampton man u na chelsea lazima zipigwe na hawa watoto.
liverpool alisakwa kila kona na alishinda kwa ndondokela ukweli usemwe.
4
ni mtazamo tu, kwa ule mpira wa leeds united jana dhidi ya liverpool sidhani kama watashuka daraja msimu huu, na watajiokotea wabovu wengi sana, timu kama southampton man u na chelsea lazima zipigwe na hawa watoto.
liverpool alisakwa kila kona na alishinda kwa ndondokela ukweli usemwe.
4