Ni chuo gani Katavi University au???
Inaonyesha mtoto mtamu wewe
....sijui kitakua kata gani...
Lecturer atakuaje lofa kiasi cha kutuma msg za vitisho wakat kuna sijuation A B before...
Hadithi hii mtunzi anaelekea iharib...
Na sijui walibadilishana vp namba za simu...na kwa lengo lipi?
Ngoma ikivuma sana...... Miss Strong, nakusihi sasa uuachie uongozi wa chuo ulishughulikie hili suala! Achana na mambo ya ushabiki, get time to study, uko chouni kusoma na si kukomoana na watu! Nina experience nzuri tu ya organisation behaviour za kibongo! Kubebana ni kwingi, usijejikuta siku ya mwisho hata hiyo degree unaikosa kama utakomaa na huyo, I am sure he is not alone, wapo ma-lecturer rafiki zake ambao hili linawachukiza. Sikuogopeshi dada yangu, "tumikia kafiri upate wako mtaji" Achana naye keshajifunza....!Poleni wana JF na majukumu ya kila siku.
Nimerudi tena kwa muendelezo wa ile kesi,nisiwachoshe sana lakin hali iliyofikia ni kutishiwa aman kabisa kwa ujumbe mfupi wa maaandishi kupitia simu yangu ya mkononi.
Kama nilivyotoa maelezo katika thread ile ya pili juu ya hatua zangu nilizochukua .........hatimaye ss uongozi katika ngazi ya mkurugenzi wa mafunzo alimuandikia barua huyo lecturer juu ya mimi kutojaziwa course work na kumuamuru nijaziwe course work yangu ndani ya masaa 12.
Lecturer huyo alifanya hivyo lakin hakuipeleka kwa mkuu huyo na badala yake akaipeleka kwa mkuu wa idara yangu........!
Kilichotokea sasa ametoa excuse kuwa alikuwa anaona majina mawili kwahyo ndo yalimchanganya.......mfano;TINA JOEL NA TINA KIMARO(majina haya si rasmi) wakati ukweli mtu huyo anatumia TINA JOEL KIMARO,hiyo ni sababu iliyomfanya acheleweshwe course work yangu.
Tukumbuke mtu huyo alishawahi niifundisha semister iliyokwisha somo jingine na haijawahi tokea tatizo hilo.Lakini leo hii anatoa hiyo sababu.
Lecturer huyo baada yakuwekwa kiktimoto na mkurugenz wa mafunzo,usiku wa siku hiyo hiyo nilipokea ujumbe uliotumwa na namba ngeni nao unasema hivi "Acha mchezo mchafu binti utaharibika kwa uzembe wako,hayo ni mambo yakupita binti yangu acha masihara utajuta.Yangu macho,usiku mwema."
Nilitafakari huo ujumbe sana,lakini nilijitia moyo.....Nilitolea taarifa kesho yake asubuhi kwa Mkurugenzi wa mafunzo.
Bado sijaitwa kwenye hiyo bodi ingawa kuna tetesi kuwa huyu mtu amekwisha andikiwa barua yakutaka kusimamishwa.
Tuombeane sana maana ni vita kubwa,nasubiri kuitwa tu.Nimesukumwa kuandika hili na moyo wangu ili muweze kufahamu nilipofika na pia hata kama lolote linatokea bas mtasikia tu, hata kama sintakuwepo katika dunia ila mtakuwa mmepata angalau kitu fulani.
ASANTENI SANA NA MUNGU AWABARIKI.
Poleni wana JF na majukumu ya kila siku.
Nimerudi tena kwa muendelezo wa ile kesi,nisiwachoshe sana lakin hali iliyofikia ni kutishiwa aman kabisa kwa ujumbe mfupi wa maaandishi kupitia simu yangu ya mkononi.
Kama nilivyotoa maelezo katika thread ile ya pili juu ya hatua zangu nilizochukua .........hatimaye ss uongozi katika ngazi ya mkurugenzi wa mafunzo alimuandikia barua huyo lecturer juu ya mimi kutojaziwa course work na kumuamuru nijaziwe course work yangu ndani ya masaa 12.
Lecturer huyo alifanya hivyo lakin hakuipeleka kwa mkuu huyo na badala yake akaipeleka kwa mkuu wa idara yangu........!
Kilichotokea sasa ametoa excuse kuwa alikuwa anaona majina mawili kwahyo ndo yalimchanganya.......mfano;TINA JOEL NA TINA KIMARO(majina haya si rasmi) wakati ukweli mtu huyo anatumia TINA JOEL KIMARO,hiyo ni sababu iliyomfanya acheleweshwe course work yangu.
Tukumbuke mtu huyo alishawahi niifundisha semister iliyokwisha somo jingine na haijawahi tokea tatizo hilo.Lakini leo hii anatoa hiyo sababu.
Lecturer huyo baada yakuwekwa kiktimoto na mkurugenz wa mafunzo,usiku wa siku hiyo hiyo nilipokea ujumbe uliotumwa na namba ngeni nao unasema hivi "Acha mchezo mchafu binti utaharibika kwa uzembe wako,hayo ni mambo yakupita binti yangu acha masihara utajuta.Yangu macho,usiku mwema."
Nilitafakari huo ujumbe sana,lakini nilijitia moyo.....Nilitolea taarifa kesho yake asubuhi kwa Mkurugenzi wa mafunzo.
Bado sijaitwa kwenye hiyo bodi ingawa kuna tetesi kuwa huyu mtu amekwisha andikiwa barua yakutaka kusimamishwa.
Tuombeane sana maana ni vita kubwa,nasubiri kuitwa tu.Nimesukumwa kuandika hili na moyo wangu ili muweze kufahamu nilipofika na pia hata kama lolote linatokea bas mtasikia tu, hata kama sintakuwepo katika dunia ila mtakuwa mmepata angalau kitu fulani.
ASANTENI SANA NA MUNGU AWABARIKI.
Damn make him bleeding kwa uzembe wake.
Karibu!!Asante
...Shigongo anawaleta vijana wanaoomba kazi hapa kufanya practical...
Na hakika huyu kashachukua kazi....
halafu kinanishangaza watu wanaishikia bango hii story ya upande mmoja!!!kama imeshafikishwa kwa uongozi wa juu kwa nini asikitaje hicho chuo maana si siri tena!!Mkuu nakubaliana nawe sana. Huyu ni binti ni mtungaji mzuri sana na mpaka part 5 nafikiri
...i curiously await ur 2nd come back at MMU...after this saga..
I cant wait 2 c ur other side like.. ''im in love",''i need a man" ,"my pusi doesnt reach at peacks"....etc
Im watchng u girl... hahaha....or else u change ur ID
halafu kinanishangaza watu wanaishikia bango hii story ya upande mmoja!!!kama imeshafikishwa kwa uongozi wa juu kwa nini asikitaje hicho chuo maana si siri tena!!
Kufikishwa kwa uongoz haimaanishi kuwa ndo nitaje chuo....Uongoz haujatoa maamuz ya mwisho.Chio nitataja tuu.
hiyo sms ni ushahidi mwingine hifadhi na hiyo namba hifadhi. uhakikishe ana wajibishwa si kuweka marks tuu! ukiona dalili za kusamehewa nenda kule nilipo kushauri!
Ndugu (sijui mwanamme au mwanamke; am still not pretty sure so far) hapa umetunga na uzuri wake umefanikiwa kuwashika watu wanaamini hisia hata kama ni za kuigiza. hawa ndio wanalia sana wanapoaangalia movies bila kufikiri kuwa huo ni UIGIZAJI. Wote tumesoma na tunajua haya lakini huwa hayawi kama unavyotaka watu waamini. Style gani hii ya kuja na parts za story moja... Umewashika wapenda filamu lakini sisi wengine wenye upeo mkubwa hutaweza kutudanganya... I guess you are not a good student if at all you are schooling otherwise I dont see any potentiality of studentship and scholarship in you.