Habari zilizozagaa hapa chuoni ambazo hazijadhibitishwa rasmi zinasema mwl wa cbe hapa dodoma usiku wa kuamkia leo tarehe 11/4 ameuwawa kikatili na watu wasiojulikana vyanzo vya habari vinasema lecture huyo anaefahamika kwa jina la MR MANICHE alivamiwa na vibaka mida ya usiku eneo la kikuyu ambako ndiko alikokua anaishi,wanachuo wengi walikuwa wamejikusanya vikundi vikundi wakiwa hawaamini kile kilichotokea na wengine kulazimika kurudi hostel,mwl atakumbukwa kwa ufundishaji wake mahiri ktk somo la ENTREPRENEURSHIP,hadi tunakwenda mtamboni bada taarifa rasmi kutoka ktk uongozi wa chuo hazijatolewa,