lara 1 uko sahihi haingiliwi wakati wa kusahihisha sawa but inapotokea amekuwekea INCOMPLETE wewe kama mwanafunzi unaitwa unaleta vithibitisho vyako kuwa ulifanya HOMEWORK ZOTE na mtu mwingine anazipitia na kuzisahihisha upya kama Lecturer alikupunja marks inajulikana wazi. Yaani hapo ndio mwsho wa matatizo. I know what I am referring here sweets! Hakuna kuwa mpole kwa haki zako aisee kama unazijua na unajua wapi pa kuzifuatilia