Lecture anamtaka mpenz wangu!!

Anakijua ila kampa taarifa ili siku ya siku amwambie kwamba hiyo text ndo ya yule nilikueleza kuwa ananitaka na mi simtaki!!!!!!

Chezea wanachuo??????!!!!!

MKUU mbona unanitisha na hayo maneno yako
 
MKUU zemarcopolo cdhan kama ataweza coz mara kbao ananiambiaga issue za khvyo

Wewe sasa wantia mashaka mie, yaani kwa kuwa anakwambia mara kwa mara juu ya haya basi nawe wamwamini??? Mie nahisi anakutengenezea mazingira tu kuwa incase ukijambamba akwambie si nilikwambia? Najikuta natamani kukuuliza kama wewe ulipitia chuo kwa kweli? Samahani lakini unaonekana kuna vitu unaviunderestmate
 

MKUU ni research xo xijajua utaratbu wa chuo chao kwan pepa la u.e alishafanya ndo alikuwa ana submit hyo research cjui
 
.................Hakuna kitu kama hicho wewe bwana............. haiwezekani chuo kizima kiwe kimeoza na bado kinasurvive bwana!...................... We mwambie awe anakuletea assignments zake anazofanya for references!

MKUU NASHUKURU yy ndo ana graduate mwaka huu xo alikuwa ana submit hyo research yake
 
MKUU ni research xo xijajua utaratbu wa chuo chao kwan pepa la u.e alishafanya ndo alikuwa ana submit hyo research cjui
Hata kama ni research mwambie mpenzi wako asiwe na shaka yeye akaze buti na ajue anachoandika. Research paper haisahihishwi na mwalimu mmoja tu. Kuna internal na external examiner. (Natamani ningejua ni chuo gani.....walimu madhalimu ya aina hii ni lazima yakomeshwe)
 
Hahhahaha frakitosho, awe anazihifadhi tu for references mydia sio kuzikagua. Loh nimejikuta nacheka kwa nguvu lol

Hapo nimekusoma best. Sasa nae huyu form four failure kwa nini asitafute mwanamke wa design zake? Mi naona huyu wa chuo awaachie wasomi wajivinjari nae.
 

HAPO KWENYE KUNIPIMA YAWEZEKANA COZ ME HUWA CMFUATILIAGI XANA NAKUWA BUSY XANA.ila hayo mengne ckubaliani nayo
 
mkuu thanx kwa kunielewa

Sweetheart, kwenye Research hakuna kitu kinachoitwa INCOMPLETE, hakuna matokeo ya INCOMPLETE kwenye research ni either AMEFAULU (PASS) au amefeli (FAIL). Nakushauri kuanzia sasa jifunze kuwa makini na kuelewa hizo terminologies ndugu yangu
 
MALALAMIKO GANI? WEEEEEEEEEEEEE! THUBUTU YAKE! Nchi ishauzwa hii. Mwenyewe nimefanyiwa fitna ila nimenyuti tu! Hata angenipa SUPU 100, Nitazifanya tu ila sio KUNGOA JINO SIMBA NA MKONO!!!!!!!!!!

Chozi la mnyonge lalipwa kwa Mungu baba.

POLE lala 1 ndo matatzo ya nch ye2 haya yaan nimemwambia akaze moyo na aombe xana anaxema nichukue hatua ya kumuadabisha huyo ticho yake hata kumkodia wahun wamtwange inauma aisee
 

mkuu elimu yangu form 4 .ni v2 gan hvo nijuze ndo mana nikaomba msaada hapa
 
cfahamu mkuu ndio maana nikaomba msaada hapa ili nipate mawazo mbal mbal na niyachanaganue

Hapo kuna possibilities nne:
1. Inawezekana anakwambia kwa nia njema tu kama unavyodhani.
2. Inawezekana anaona kuna uwezekano jamaa akala mzigo au ameshakula na anaweka kinga ili hata ukimshika hapate pa kuanzia kujitetea.
3. Inawezekana anatumia hiyo kama bargaining power ili kukualert kuwa yeye yuko marketable.
4. Inawezekana ni mchanganyiko wa sababu zaidi ya moja kati ya hizo zilizotajwa

Hizi possibilities zote lazima uziweke kwenye mizani kabla ya kufikia conclusion...

Akili kichwani...
 

mkuu chuo naogopa kutaja ila kpo mkoani ncje nikafanyiziwa bure watu hawakawii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…