Lecture anamtaka mpenz wangu!!

Lecture anamtaka mpenz wangu!!

mpenz wangu kanilalamikia lecture wake anamtaka kimapenz kamwambia kama asipo mpa TUNDA la kati basi atamwandikia INCOMPLETE katika research yake.naomben ushauri Nimsaidiaje my wyf material coz nampenda sana


Hapo kwenye red ni lecturer


napita.........
 
mpenz wangu kanilalamikia lecture wake anamtaka kimapenz kamwambia kama asipo mpa TUNDA la kati basi atamwandikia INCOMPLETE katika research yake.naomben ushauri Nimsaidiaje my wyf material coz nampenda sana

Hakuna kitu kama hicho wewe usidanganyike. Mwambie mpenzi wako asome na awe makini na assignments zake zote. Afanye assignemnts zote na aweke vizuri matokeo kwa ushahidi. Kuandikiwa INCOMPLETE ina maana hajafikia marks za kumwezesha kuPASS ambazo hujumlisha assignments za darasani i.e. take home assignments, group/individual assignments, tests pamoja na UE. Akiwa amefaulu assignments kiasi cha kuruhusiwa kufanya UE huyo Lecturer hawezimwandikia INCOMPLETE. Na hata aiamua kumfelisha wapo wanaopitia matokeo kabla hayajatolewa.
 
Anakijua ila kampa taarifa ili siku ya siku amwambie kwamba hiyo text ndo ya yule nilikueleza kuwa ananitaka na mi simtaki!!!!!!

Chezea wanachuo??????!!!!!

MKUU the boss ndo nimemwambia afanye hvo but kaniambia kuwa chuon kwao hakuna pa kushitak coz wote ndo wale wale 2
 
MKUU the boss ndo nimemwambia afanye hvo but kaniambia kuwa chuon kwao hakuna pa kushitak coz wote ndo wale wale 2

.................Hakuna kitu kama hicho wewe bwana............. haiwezekani chuo kizima kiwe kimeoza na bado kinasurvive bwana!...................... We mwambie awe anakuletea assignments zake anazofanya for references!
 
We huyo msichana muongo.
Kama kweli anamtaka kwanini asiweke mtego katika vitengo husika ikiwepo PCB.
Tena watu hao wanatafutwa kweli.

Hapo kuna mawili
-Inawezekana kabisa anakula mzigo huo,sasa huyo dem anajilinda mapema,ili kama ikipigwa simu ujue kwamba jamaa anafukukuzia,siunajua zile za kuzugia.
-Pili inawezekana kwamba dem anakupima mapigo ya moyo,kuna madem wanapenda sana usumbufu kwa wenzao hasa akiona humfuatilii sana,sasa hapo anataka kuonajinsi unavyochacharika kuhusu yeye,wapo madem dizaini hizo.

Kuwa makini,chukua hatua.
 
We huyo msichana muongo.
Kama kweli anamtaka kwanini asiweke mtego katika vitengo husika ikiwepo PCB.
Tena watu hao wanatafutwa kweli.

Hapo kuna mawili
-Inawezekana kabisa anakula mzigo huo,sasa huyo dem anajilinda mapema,ili kama ikipigwa simu ujue kwamba jamaa anafukukuzia,siunajua zile za kuzugia.
-Pili inawezekana kwamba dem anakupima mapigo ya moyo,kuna madem wanapenda sana usumbufu kwa wenzao hasa akiona humfuatilii sana,sasa hapo anataka kuonajinsi unavyochacharika kuhusu yeye,wapo madem dizaini hizo.

Kuwa makini,chukua hatua.
 
Back
Top Bottom