Leave Jesus alone!

Yaonekana weye ndo ulikutana na huyo boss mwisho mwisho hivi. Alipokuja huyo mwingine baada ya weye, ukajua anapelekwa interview ile ile. Wivu ukakupata. Acha wenzio nao waliwe. Sichochei huu upuuzi lakini thread yako ina elements za kiwivu wivu hivi

Mkuu ushaambiwa kaikopy mahali sasa unamlenga yy direct


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mkuu ushaambiwa kaikopy mahali sasa unamlenga yy direct


Sent from my iPhone using JamiiForums

Ukisikiaa paaa ujue imempataa hahhahhha
 
bora ya wewe uliyewaambia hawa watu ukweli
mtu anafanya madudu yake anatanguliza Mungu
na kusema yeye ndiye aliyempatia hiyo kazi
wakati amefanya uovu ndipo kaipata

asante kwa mada yako nimeipenda sana


 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…