Uzuri sitafuti kazi upo!!!!!!!!
Nataka ya huyo mdada anaejigamba kua yesu kafanya kweli, ili nimzomeee aache katabia ka...:msela:Angalia yangu inakutosha
Uzuri sitafuti kazi upo!!!!!!!!
Hey hey mnitue nimeikopy mbona mmekua wakali lolllll
We ulitaka niandike makalio yakiwa wazi juu ndio uridhike au?
Dogo umeniitia nn?
Unauma si kidogo ati, sasa hiyo picha uliyoweka hapo mmmmh....Hahhhahhha wapo wengi we ukiona mtu anapayuka humu kawa mkalii ujue ujumbe umemtouch,si unajua ukweli unauma siku zote
We ulitaka niandike makalio yakiwa wazi juu ndio uridhike au?
Kuna wanaotaka naomba uwapatie,mie sihitaji kabisaa niliyonayo inanitosha,
Kwani kuna watu hua hawamsingizii Yesu!!!?mbona hiyo ipo baba paroko
Mmmh!!!
na maarifa yenyewe ndo kupanua miguu ili upate kazi?sasa unaandika nini na umefunika kichwa kama upo msibani,bible inasema watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa,sasa unashangaa nini