Ndugu!
Utangulizi
Nimetafakari sana juu ya Siasa za Tanzania. Nimeangalia kwa upana siasa zetu za Sasa (za kileo). Nikatazama mustakabali wa huko tuendako. Kama tunataka mabadiliko basi TUNAHITAJI WANASIASA VIJANA WAJANJA.
Dhima
Tupate watu wafaao kwa kuangalia waliopo.
Kiini.
Tumempoteza Maalimu Seif. Mwanzo Hizbu, akajakuwa ASP, CCM, CUF, baadae ACT-Wazalendo.
Tunajifunza nini? Jenga Mvuto na Nguvu kwa jamii yako bila kujali ni ndogo kiasi gani. Pemba ilimjenga Maalimu.
Turudi bara kwa Sasa.
Katika wanasiasa wa nje ya CCM naona Zitto ana Nguvu kubwa sana ya kuamua mwelekeo wa Siasa yetu kutokea upinzani.
Kwa sasa lazima ZZK awe sehemu ya mjadala muhimu wa nani anajaza nafasi ya VP Zenji. TISS hawana namna ya kumkwepa. ZZK katika hilo. Anaweza kutaka lolote. Liwe la kifedha, vitu au heshima. Lakini pongezi kwako ZZK. Nitajiunga na ACT Wazalendo.
Utangulizi
Nimetafakari sana juu ya Siasa za Tanzania. Nimeangalia kwa upana siasa zetu za Sasa (za kileo). Nikatazama mustakabali wa huko tuendako. Kama tunataka mabadiliko basi TUNAHITAJI WANASIASA VIJANA WAJANJA.
Dhima
Tupate watu wafaao kwa kuangalia waliopo.
Kiini.
Tumempoteza Maalimu Seif. Mwanzo Hizbu, akajakuwa ASP, CCM, CUF, baadae ACT-Wazalendo.
Tunajifunza nini? Jenga Mvuto na Nguvu kwa jamii yako bila kujali ni ndogo kiasi gani. Pemba ilimjenga Maalimu.
Turudi bara kwa Sasa.
Katika wanasiasa wa nje ya CCM naona Zitto ana Nguvu kubwa sana ya kuamua mwelekeo wa Siasa yetu kutokea upinzani.
Kwa sasa lazima ZZK awe sehemu ya mjadala muhimu wa nani anajaza nafasi ya VP Zenji. TISS hawana namna ya kumkwepa. ZZK katika hilo. Anaweza kutaka lolote. Liwe la kifedha, vitu au heshima. Lakini pongezi kwako ZZK. Nitajiunga na ACT Wazalendo.