Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 590
- 706
Kama huelewi sema usaidiwe kuliko kukurupuka kama mrupuko. 💉💊Samahani haisaidii kitu, acheni kutudanganya wapuuzi nyie.
Kwahy unaua mtu afu uje useme samahani, pumbavu kabisa.
Ndo mana JPM alionekana dikteta mana wapuuzi walikuwa wengi mno.
UCHAGUZI si upo pale-pale? Mimi nitaenda ku tick (√) Oktoba inaweza ikawa kwa mgombea kutoka chama chochote atakayenishawishi kwa sera. Tahadhari, sitakuwa na wale wanaosema tususe kupiga kura kwa kuwa wanaosusa walikua wanawake wale wa zamani wa usukumani.😂😂😂Imechoma balaaa.
Hadi sasa Wana CCM na watia nia tuna ulizana iwapo October tunatick.