Leader Of Islamic Group Killed in Detroit

Angepelekwa mahakamani ambako justice ingefanyika hiyo shooting..inalenga kuua kwa makusudi watu kwasababu wanaamini dini tofauti ..ethnic cleansing...Lol hakuna kitu hapo na hakuna tofauti na kitu wanachofanya huko iraq na afghanistan mabomu..shame..
Iran kuna majambazi kupita US lol utachekwa acha UDINI wako wewe

Justice imepatika. The killer is killed.
 
Justice imepatika. The killer is killed.
Jamaa alikuwa "Suspect" mkuu lakini wakamshoot to death..hapo hakuna justice "anyway polisi/US wanaruhusiwa kuua" kama wanavyofanya huko iraq na afghanistan..kwasababu ya UDINI..so far that we know!
 
Jamaa alikuwa "Suspect" mkuu lakini wakamshoot to death..hapo hakuna justice "anyway polisi/US wanaruhusiwa kuua" kama wanavyofanya huko iraq na afghanistan..kwasababu ya UDINI..so far that we know!

Unless you don't know the law, if you start firing your 42 Calibar, wewe elewa kuwa utamwagiwa risasi kibao. Abdulah started, then he got what he wanted. Jamaa alikuwa anawahi kwa mabikira 72! Sasa mbona roho inakuuma, kama na wewe unahamu ya kuwahi kwa Mabikira 72, anzisha zali, utapelekwa mapema.
 
F.Y.I

Abdullah, 53, called his followers to an offensive jihad, rather than a defensive jihad. Hilo ni kosa.
 
Jamaa alikuwa "Suspect" mkuu lakini wakamshoot to death..hapo hakuna justice "anyway polisi/US wanaruhusiwa kuua" kama wanavyofanya huko iraq na afghanistan..kwasababu ya UDINI..so far that we know!

Kisheria polisi wana ruhusiwa kujidefend. Unkiambiwa "Put your hands in the air" or any such warning ukianza kuretaliate wana ruhusa ya kushoot.
 
Angepelekwa mahakamani ambako justice ingefanyika hiyo shooting..inalenga kuua kwa makusudi watu kwasababu wanaamini dini tofauti ..ethnic cleansing...Lol hakuna kitu hapo na hakuna tofauti na kitu wanachofanya huko iraq na afghanistan mabomu..shame..
Iran kuna majambazi kupita US lol utachekwa acha UDINI wako wewe

Wamemuonea mkuu kwasababu ni Muslims hakuna kitu hapo UDINI tuu...mahakama ndiyo ingeweza kusema who was right or wrong
Jamaa alikuwa "Suspect" mkuu lakini wakamshoot to death..hapo hakuna justice "anyway polisi/US wanaruhusiwa kuua" kama wanavyofanya huko iraq na afghanistan..kwasababu ya UDINI..so far that we know!

Muwe mnasomaga habari nzima nzima kabla ya kuanza kuchangia uku mkiwa mnasukumwa na chuki na udini. Kama alivyosema Mwanafalsafa polisi wanaruhusiwa kujilinda sasa, vile vile kumbuka kumshambulia mbwa wa polisi kunachukuliwa kama kumshambulia polisi vile vile.
DETROIT -- During the raid, Abdullah, aka Christopher Thomas, fired his weapon, said the FBI in a release. An FBI police dog was shot during the gunfire.The dog was transported via helicopter to an animal hospital in Madison Heights, but despite the rescue efforts, the dog died.

The rest of the suspects were arrested at the Detroit raid on Tireman and Firwood roads and the Dearborn raid on Michigan Avenue and Miller Road without incident.

Seven of the suspects appeared Wednesday afternoon in a detention hearing. The rest will appear before a judge Thursday.

Anyone with information is asked to call the FBI at 313-965-2323.
 
Back
Top Bottom