Le Mutuz: Leo Uchaguzi So Need Your Prayers!!

sijui utakuwa na ubongo kufanya kazi kama mwanamume lini ukitaka siasa acha uchizi huu sidhani kama umeoa na kama umeoa ni hasara kwa mkeo na hata ukioa bado una safari ndefu ya kuwaongoza watu unaonesha jinsi ambavyo hujakomaa kuingia kwenye siasa kwa nini usiwe jaji wa miss tanzania?QUOTE=W. J. Malecela;4202293]

[/QUOTE]
 
Napata wasi wasi na uwezo wa kufikiri wa huyu ndugu Malecela!!!. Sijui na sidhani kama ana uwezo hata wa kuvaa chupi kwa kweli. Thread gani mbovu namna hiyo aliyoiandika!!! Le Mutuz...How? Why? Hufai kuwa kiongozi kabisa.
 
​nina wasiwasi kama sio shoga huyu mtu aliyewahi kuishi new york kubabaikia uwanja wa taifa madisco ya tz ni upungufu mkubwa wa kimawazo na hapa naona kuwa ni haki kutokea kwenye familia ya matonya ni sawa kabisa kitwa ombaomba nyie
 

Kwenye RED: Hivi wewe mtu una akili sawa sawa kweli? Nini hicho unachoandika?
 
 
Kwenye RED: Hivi wewe mtu una akili sawa sawa kweli? Nini hicho unachoandika?

Umeona eeh! hi njemba kwa kweli inatia aibu. Huu utaahira anaoufanya sijui kwanini walio karibu naye hawaukemei.
 
Le Mutuz, thread zako huwa ni burdani sana kutoka kwa wachingiaji.
Kitu kimoja ninacho appreciate kutoka kwako ni kuwa calm and composed. Huna jazba na hakika mwingine dhaifu awaye angeshakimbia. Nakutakia heri katika harakati zako, mtafutaji hachoki akichoka kapata

Ninakusihi usiondoke JF na kwenda kujificha katika blog. JF ni kisima cha maarifa na jiko la kupika watu mbali mbali.
Haya unayoyaona ni sehemu ya mafunzo na mwisho wa yote utaiva. Hao viongozi akina Zitto, Mnyika, Kigwangalla n.k wamepitia tanuru hili ndiyo maana unaona wapo wima kama ulivyosema.

FYI, kuwepo JF tu imekuwa bonge la Ad kwako. Kila mtu anajua Le Mutuz ni nani anafanya nini. Na usitegemee watu wote wakawa na mtazamo sawa na hivyo ndivyo jamii ilivyo na inavyopaswa kuwa.
 
Nguruvi3,
Inabidi umpe darsa Le Mutuz ni lazima abadilike aonge kama mwanasiasa hizi lugha za mtaani aachane nazo;lingine mshauri asipende sana kuianika life style yake hadharani vitu hivyo vinachangia sana kuwaangusha wanasiasa; badala yakuona picha zake akiwa kwenye kumbi za madisko na warembo ni vyema kwa sasa abadilike tuone picha akiwa kwenye mambo yanayoigusa jamii zaidi kama kusafisha mifereji; kutembelea miradi ya kilimo; mahospitalini kwenye wadi za akina mama na shughuli nyinginzezo zenye tija kwa ujenzi wa taifa letu.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
umehangaika weee!all way from new York tulifikiri unakuja na ma idea kibao ya kumkomboa mtanzania,kumbe weeee hamna kitu kweli mbongo ni mbongo ndio maana wakenya wanatuita chips mayai,,,,mkuu utapata ma prayer kibao,never mind bror,


Mkuu huwa tunaanzia ngazi ya chini kabisa, halafu tunapiga hatua kuelekea juu, unajua kuwa nchi yetu imejaa siasa za maji taka. Nampngeza sana Bw Malecela kusweat it out himself, na sio kusaidiwa na baba.
 
​nina wasiwasi kama sio shoga huyu mtu aliyewahi kuishi new york kubabaikia uwanja wa taifa madisco ya tz ni upungufu mkubwa wa kimawazo na hapa naona kuwa ni haki kutokea kwenye familia ya matonya ni sawa kabisa kitwa ombaomba nyie


 
[/QUOTE]

 

 
 
Napata wasi wasi na uwezo wa kufikiri wa huyu ndugu Malecela!!!. Sijui na sidhani kama ana uwezo hata wa kuvaa chupi kwa kweli. Thread gani mbovu namna hiyo aliyoiandika!!! Le Mutuz...How? Why? Hufai kuwa kiongozi kabisa.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…