Mtali
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 3,447
- 2,487
Babu una stress, asubuhi asubuhi yote unajianzishia Uzi...ndo tabu ya kutokuwa na mke umri huo, bibi angekuwepo angekuwa anakukanda huo mtumbo Saa hizi......wala usingewaza kudamkia Jf....
Ila babu shikamoo, naomba mia basiii....
Yaani wewe ndio umemuongezea stress babu...... Muzeee ya Mabebz...... teh teh..... Kwa umri wake anahitaji wataalam.... Psychologists walio bobea....