Lazima uwe mume -----..

Acha uongo wewe. Waliozoea mfumo dume ni dunia nzima siyo waafrika. Jaribu kufanya utafiti kabla ya kuja na hitimisho la jumla. Anyways, najaribu kufundisha wanangu kufikiri kisomi na siyo kirejareja.
 
Jamani mbona lara 1 alikuwa x gf wangu wakati tupo secondary na yupo kawaida tu?tatizo lake ni kununa tu akikerwa
 
Jamani mbona lara 1 alikuwa x gf wangu wakati tupo secondary na yupo kawaida tu?tatizo lake ni kununa tu akikerwa

Hahahahaaaaaaa! We utakuwa ulipata Lara 1 Fekeroooooooooo!!!!!!! Unless wewe ni............ No way!!!!!!! Haiwezi kuwa!
 
Lara 1 Tuataonana ktk white part utanikumbuka hapo ndio hutayaamini macho yako ha ha ha ha,
 
Acha uongo wewe. Waliozoea mfumo dume ni dunia nzima siyo waafrika. Jaribu kufanya utafiti kabla ya kuja na hitimisho la jumla. Anyways, najaribu kufundisha wanangu kufikiri kisomi na siyo kirejareja.
father umekurupuka,ni wapi nimesema wengine hawana mfumo dume?nimezungumzia only waafrika sababu wananihusu(am an african).
 

Naam....hii kweli super reply.....
 
I was born on late October!!!!!! I am a scorpion girl!
Yani upo sawa kabisa scorpion ndivyo tulivyo mwaya hujakosea ningekua nakuona lara ningekupa mkono sisi ni wavumilivu mno ila siku yakituchosha pana chimbika bila jembe mm ni nov
 
ahahahah!mkuu nipe iyo dawa bwana mwenzio yamenikuta uchumba tu balaa nafikiria iyo ndoa sijui itakuwaje

...mbane kisawasawa mwanamke kama Lara1 kunako '6 times 6' the way no man had ever done that to her! jeuri yote kwishaaa. always kwako atakuwa kama kifaranga kilichonyeshewa mvua ya el-nino. hata ukiwa unamkoromea she will be only weeping...ukisema umeniudhi, natoka zangu ku-clear mind ouside with my friends, she will grab ur feet with a lot of 'nisameee..'! wanawake type hiyo ni wazuri sana ukijua ku-play na minds zao! huna haja ya kufokezana nae au kumpiga makofi. ukifanya hivyo ni big mistake unafanya.
 

Wonders shall never end.. ngoja siku umesaau ko-logoff! itabiti uterminate contract..
 

Hongera sana hapo kwenye red. Sasa hao wanaume waliotaka kukutolea mahari walikuwa wana ku-onja-onja simultaneously au walitaka kukutolea mahari bila kuonja? Nataka tu kufahamu kuwa DSM ya leo bado wapo wanaume wanaotoa mahari kabla ya kugegeda.
 
Lara em niambie shepu yako ilivyo....nataka nikutengenezee ndoano
 
Hongera sana hapo kwenye red. Sasa hao wanaume waliotaka kukutolea mahari walikuwa wana ku-onja-onja simultaneously au walitaka kukutolea mahari bila kuonja? Nataka tu kufahamu kuwa DSM ya leo bado wapo wanaume wanaotoa mahari kabla ya kugegeda.

Anavopenda starehe huyo...waligonga sana mashine,labda atwambie walitumia condoms!
 
Njoo kwenye WHITE PARTY ya Gfsonwin NITAKUWEPO TELEEEEEE! In full white!!!!!!! Toa 20,000/= KEBBYS PALE acha ubahili wako wa kutaka picha!!!!!
Ni lini hiyo nije, hata mimi nina hamu ya kukuona Lara 1......nitamtoroka wife nimdanganye naenda msibani.....nipe tarehe mapema niuwe mtu siku mbili kabla...:becky:
 
na wananifata sio utani aisee, mpk wengine wanasema ntazeeka nikiwa single kwa misimamo ninayoisimamia mwanamke. unajua nimegundua nini kingine Lara 1 wengine wanataka kutest waone unajivunia nini na kipi kinakupa confidence, wananikomaje hapo sasaaaaaaaa!!!!!!!!!!! yani naenjoije kuwaenjoy mieee..... raha sana mdada ukijiamini na kujikubali
 

ona huyu naye sijui ndo ameanzisha mada gani humu ndani. kama huna cha kuandika tulia kimya.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…