Lazima uwe mume -----..

hapa topic ni nini, discussion about lara 1 au ???
topic hapa ni kwamba wanawake wenye vitabia kama lara1 ili uweze kuishi nao muda mrefu lazima uwe bweg..Discuss
 
mmmh..!maelezo yako yananitisha dizaini unang'ata huku unapuliza,we mwanamke hataree..sio kila kitu cha kujadili we mwanamke vyengine kwa wadhifa wako majibu ni YES OR NO.
 
Ndege wanaofanana wanaruka pamoja. Wewe unaweza ukamuona hivyo ila wapo wanaume wanaopenda sana wanawake wenye misimamo kama yake. Sio mwanamke kila anachoambiwa yeye ni YES SIR!
 
I was born on late October!!!!!! I am a scorpion girl!

I was very close to reality ....just a month ahead.!! Anyway still there are some particles of September characteristics.
 
eehee...wanawake type ya Lara1 ndo napenda sana maana nina dawa ya kumfanya awe mnyongeeee kwangu! 24/7 she will be longing to be so closer 2me! Lara1 are you there?
:cheer2::cheer2::cheer2:
 
Ndege wanaofanana wanaruka pamoja. Wewe unaweza ukamuona hivyo ila wapo wanaume wanaopenda sana wanawake wenye misimamo kama yake. Sio mwanamke kila anachoambiwa yeye ni YES SIR!
Unajua ni wanaume wachache wanaovutiwa na mavuvuzel..kama lara hata kama wanajenga hoja vizuri ila tatizo lao ni kutaka kujua kila kitu.
 
eehee...wanawake type ya Lara1 ndo napenda sana maana nina dawa ya kumfanya awe mnyongeeee kwangu! 24/7 she will be longing to be so closer 2me! Lara1 are you there?.
:cheer2::cheer2::cheer2:
ahahahah!mkuu nipe iyo dawa bwana mwenzio yamenikuta uchumba tu balaa nafikiria iyo ndoa sijui itakuwaje
 
Mbona mkuu umeweka ukweli wote nje? kweli kabisa, umejuaje? ukweli mtupu huu!
Tunawajua wanawake wa aina ya lara 1,wako wengi tu kitaa. Na ukiona muongeaji sana hapa,ni mpole sana akiwa na mwenzake aka mbabe wake.Halafu,wanawake waongeaji sana,hawana viwango juu ya 6x6/6x5
 
Last edited by a moderator:

Toka lini kunga aka somo yupo kwenye ndoa?
 
Tunawajua wanawake wa aina ya lara 1,wako wengi tu kitaa. Na ukiona muongeaji sana hapa,ni mpole sana akiwa na mwenzake aka mbabe wake.Halafu,wanawake waongeaji sana,hawana viwango juu ya 6x6/6x5

Embu tuanze wewe una viwango gani kwanza hukp 6*6 manake naona una bwabwaja bila vitendo!
 
mmmh..!maelezo yako yananitisha dizaini unang'ata huku unapuliza,we mwanamke hataree..sio kila kitu cha kujadili we mwanamke vyengine kwa wadhifa wako majibu ni YES OR NO.

Weweweeeeeeee! Huwezi kunipangia cha kujibu! Najibu nachojisikia!!!!!
 
Basi naamini wewe ni debe tupu

Hahahahaaaaaaaaaaaa! We amini uaminicho neno lako sio sheria wala wewe sio nabiii iwe neno lako ni utabiri lazima utimie!
 
Embu tuanze wewe una viwango gani kwanza hukp 6*6 manake naona una bwabwaja bila vitendo!
Unauliza jambo linalohitaji matendo halisi.Nitafute halafu tutarudi hapa na mabandiko ya juu ya kilichotokea.Nadhani unanielewa lara 1?
 
Last edited by a moderator:
Hahahahaaaaaaaaaaaa! We amini uaminicho neno lako sio sheria wala wewe sio nabiii iwe neno lako ni utabiri lazima utimie!

Watu kama nyie watamu sana kwenye kugongomeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…