Lazima utanivulia

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Huna ujanja lazima utanivulia,hata kama ungengombana na mimi lazima utanivulia ch*pi,lazima utanikali,utasikia raha na siku nyingine
utanikalia tena mpaka uridhika,utanikalia ukiwa uchi na hutaona aibu.....hayo ni maneno choo ilikuwa inamwambia mtu.
 
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo alifariki dunia kwa ugonjwa wa moyo.Wananchi,ndugu,jamaa,mara
fiki na majirani waliamua kumuenzi dokta kwa kumchongea jeneza zuuuri lenye shape ya moyo.Wakati maelfu ya watu wanapita kutoa heshma za mwisho na kuaga mwili wa marehemu,ghafla wakasikia mtu anacheka sana tena kwa sauti ya juu.Watu walidadisi wakagundua anayecheka alikua akifanya kazi na marehemu.
Ndipo Padri akaenda kumuuliza
PADRI:Ndugu mbona unacheka sana na unajua hapa ni msibani?Au umefurahi mwenzako kufa?
JAMAA:Hahahahahaha nisameheni jamani.Mimi najiuliza siku nikifa jeneza langu litakuaje,maana mim ni daktari bingwa wa magonjwa ya wanawake..hahaha.
padri alienda kuchekea stoo.
 
Majamaa wawili walikuwa walikutana kwenye seat moja ndani ya basi,
jamaa mmoja akamwuliza mwenzake,mbona unawaza sana ndugu yangu,
jamaa akajibu nina matatizo ya kifamilia,mi na mke kila siku ugomvi.
jamaa akamjibu huna matatizo ya kifamilia kama mimi,
Mi nilimwoa mjane ambaye alikuwa na binti mwenye miaka 19,halafu baba yangu
akamwoa huyo binti na kuzaa naye, kwahiyo watoto wa hao binti yangu ambaye ameolewa na baba yangu
wananita kama babu halafu ndugu upande wa baba yangu wananita baba mkwe,halafu watoto wa binti huyo wanajua baba yangu ndo kijana wangu.je una matatizo kama mimi kweli?
 
ah haaaa haaa haaaaa...................duuuuh hyo ya kwanza noma
 
Ni mkanyagano tu. Nalog off
 

khe the the kweli profesheno nyingine ni nouma
 

Madingi wa siku hizi ni nouma wanaung'ang'ania mno
 
All of the above good are jocks bravo to u all post
 

Nimeipenda hii, ilitakiwa iwe THREAD inayojitegemea
 
LOL!mi am DWL!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…