Lazima ucheze hizi pc Games


Processor yako iko vizuri na itacheza games nyingi lakini Chief Mkwawa Anasema Ukiwa na i7 inayo ishia na K itacheza Games Nyingi sana.
na ukiwa na GPU ya maana na RAM hata 4gb au 8gb itakua poa sana.
Ukiwa na Intel HD Graphics utacheza games nyingi kiasi
kama
assassins creed 1.2.3 na4
pes 13
fifa 16
fallout 3
gta 4
just cause1 na 2
prince of persia forgotten sands
NFS 11 na13
CODMW 2
codmw3
cod black ops 2
Hizo ni games ambazo nimeshawahi Kuzijaribu lakini nyingine hautacheza kwa FULL HD
Lakini Ukiwa na Graphics Card kama za NVIDIA kama zile za 2gb UTACHEZA GAMES NYINGI KWA FULL HD.[/QUOTE]

Mwanafunzi wa Chuo Kikuu anapocheza 'gemu' kwenye kompyuta!
 
wadau na Mimi ni addicted wa games naombeni kujua ni games gani zinaweza cheza kwa laptop ya hp probook 450 iko na 6gb ram na 700ROM
 
Niuzie PC games kwa dsm. Natafuta Eurotruck, fifa 17, pes 17, gta 5, combat flight simulator, flight simulator, etc
 
acha na GPU Yani Graphic processing Unit
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…