Lazima kichaa anizalie mtoto

Lazima kichaa anizalie mtoto

Heshma kwenu wakuu

Kama kichwa kinavyojiekeza .rafiki yangu amenishangaza sana huu ni mwezi kama watatu ananambia anataka azae na kichaa.Nashindwa kumuelewa anania gani .
Kwa kuuliza wakuu kunamadhara kwani au inaweza kumletea matitizo kwa namna yoyote ile

Nawasilisha
vp alifanikisha?
 
Heshma kwenu wakuu

Kama kichwa kinavyojiekeza .rafiki yangu amenishangaza sana huu ni mwezi kama watatu ananambia anataka azae na kichaa.Nashindwa kumuelewa anania gani .
Kwa kuuliza wakuu kunamadhara kwani au inaweza kumletea matitizo kwa namna yoyote ile

Nawasilisha
vp alifanikisha?
 
Back
Top Bottom