Lawasa akumbukwa sana na SISIMU

Lawasa akumbukwa sana na SISIMU

Mkombozi

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2008
Posts
844
Reaction score
476
Wakuu kama mnakumbua ushindi wa SISIMU mwaka 2005 ulichangiwa sana na Lowasa?Pia shule zote za kata zilijengwa kwa amri yake?Alianza kurudisha uwajibikaji serikalini?Kauli ya maisha bora ilikufa na mwaka huu haipo baada ya Lawasa kupigwa chini.Alitaka kununua mvua?Alikua engine kubwa sana ila kakashifa ka RichMonduli kaka mwangukia.n
 
Wakuu kama mnakumbua ushindi wa SISIMU mwaka 2005 ulichangiwa sana na Lowasa?Pia shule zote za kata zilijengwa kwa amri yake?Alianza kurudisha uwajibikaji serikalini?Kauli ya maisha bora ilikufa na mwaka huu haipo baada ya Lawasa kupigwa chini.Alitaka kununua mvua?Alikua engine kubwa sana ila kakashifa ka RichMonduli kaka mwangukia.n
ushindi wa kuunda mtandao wa kuwachafua wakina sumsye,salm ahmed salm,na mtandao ulifanikisha wizi wa epa
 
jamaa anarudi na nafasi ya uspika wa bunge kuelekea 2015 kuchukuwa nchi akiwa na kauli mbiu ya jimbo la Monduli "TULIFURAHI PAMOJA,TULIHUDHUNIKA PAMOJA NA TUTASONGA MBELE PAMOJA NA TUTASHINDA" kazi kwenu wote mnaomuona ntimanyongo mtajiju.
 
Wote wamefulia tu ni mafisadi wao na chama chao wanyimwe kura tu
31 oktoba tu:A S thumbs_up:
 
hahaaaaa hivi Sitta si alisema anagombea tena uspika kaishia wapi?hahaaa
 
kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini unapozungumzia maendeleo kwa nchi kama TZ, wananchi wanahitaji yafuatayo:-

  • Elimu Bora.
  • Miundombinu mfano barabara.
  • Afya bora, ujenzi wa vituo vya afya katika sehemu husika
  • Ajira, kutengeneza nafasi za ajira hasa kwa vijana na akina mama
  • Huduma ya maji safi na salama
  • Uchumi, kipato kuanzia ngazi ya kaya/familia
  • Kuboresha kilimo etc etc
Fungua kiambatanishi kuona anachowashuhudia wananchi wake kile alichokifanya kwa miaka mitano iliyopita.....Tanzania tunaelekea wapi?, je hakuna wachapa kazi wanaoweza kuleta mabadiliko hasa katika jimbo hili?
Hali imekuwa tofauti kwa Muheshimiwa SIX mbunge wa jimbo la Urambo mashariki, sera zake haziniingi akilini, nashangaa kwa nn wananchi wanaendelea kumkumbatia, Nimefanikiwa kufika Urambo, katika jimbo la huyu mheshimiwa, hali ni ya kutisha, ukizingatia kuwa hii wilaya ni miongoni mwa top three ya wilaya zinazoongoza kwa ukusanyaji wa mapato, cha ajabu miundombinu ni mibaya kuliko maelezo, maji ni tatizo,elimu hali kadhalika.....
 

Attachments

  • Image0183.jpg
    Image0183.jpg
    321.1 KB · Views: 44
  • Image0182.jpg
    Image0182.jpg
    356.5 KB · Views: 36
jamaa anarudi na nafasi ya uspika wa bunge kuelekea 2015 kuchukuwa nchi akiwa na kauli mbiu ya jimbo la Monduli "TULIFURAHI PAMOJA,TULIHUDHUNIKA PAMOJA NA TUTASONGA MBELE PAMOJA NA TUTASHINDA" kazi kwenu wote mnaomuona ntimanyongo mtajiju.
Ukweli ndio huo na uwezi kumfananisha Lowassa na wezake yeye kafanya kazi jimboni mwake ndio maana wananchi wengi wa Monduli bado wana imani na Lowassa.
 
Ukweli ndio huo na uwezi kumfananisha Lowassa na wezake yeye kafanya kazi jimboni mwake ndio maana wananchi wengi wa Monduli bado wana imani na Lowassa.
Sio kazi ya mmbunge kufanya majambo jimboni mwake, jimbo lolote linaloshamiri bila ya mchango mkubwa kiuchumi kitaifa ujue huyo ni hasara ki taifa na huyo mmbunge ni mmbinafsi, mmkabila, yupo kwenye uongozi ambao unadhani ni wao ndio wenye haki na hatufai kama kiongozi.

Kazi ya mmbunge ni kuwawakilisha watu wake kidemokrasia kwenye siasa za kitaifa na kupeleka maombi yao bungeni; kutatuliwa ni mipango ya serikali kuu. Sasa tusisherekee eti mmbunge kafanya nini wakati majimbo mengine yamekwama kwa kuwa wabunge zao hawana nguvu na hawapo influential has mafisadi na kuwapa sifa mijitu michoyo. Wabunge wa namna hiyo ni wakabila na wasioipenda nchi kujijali wao na kwao na pia si kazi ya mmbunge kujenga kwao.

Tunapotoshana sana wakati mwingine ndio sababu watu hawaelewe ni nini hasa kazi ya mkuu wa wilaya wala mkuu wa mkoa na nini hata maana ya local government. Mmbunge yeyote aliekupendezesha kwao ujue ni at the cost of national development.
 
wakuu kama mnakumbua ushindi wa sisimu mwaka 2005 ulichangiwa sana na lowasa?pia shule zote za kata zilijengwa kwa amri yake?alianza kurudisha uwajibikaji serikalini?kauli ya maisha bora ilikufa na mwaka huu haipo baada ya lawasa kupigwa chini.alitaka kununua mvua?alikua engine kubwa sana ila kakashifa ka richmonduli kaka mwangukia.n

nyerere alisema kabla hajafa kuwa hafai kutokana na kuwa na tamaa ya kujilimbikizia mali, watu wakampuuza huyu mzee. Ilitakiwa kikwete ampige chenga lowassa kutokea mwaka 2005. Tazama jinsi lowassa alivyoipka ccm yote matope mapaka sasa hata wanaccm hawataki hata kuipigia kura.

Ndani ya m,iezi 6 tu ya uwaziri mkuu kesha ingiza dili ya richmond.
 
sio kazi ya mmbunge kufanya majambo jimboni mwake, jimbo lolote linaloshamiri bila ya mchango mkubwa kiuchumi kitaifa ujue huyo ni hasara ki taifa na huyo mmbunge ni mmbinafsi, mmkabila, yupo kwenye uongozi ambao unadhani ni wao ndio wenye haki na hatufai kama kiongozi.

Kazi ya mmbunge ni kuwawakilisha watu wake kidemokrasia kwenye siasa za kitaifa na kupeleka maombi yao bungeni; kutatuliwa ni mipango ya serikali kuu. Sasa tusisherekee eti mmbunge kafanya nini wakati majimbo mengine yamekwama kwa kuwa wabunge zao hawana nguvu na hawapo influential has mafisadi na kuwapa sifa mijitu michoyo. Wabunge wa namna hiyo ni wakabila na wasioipenda nchi kujijali wao na kwao na pia si kazi ya mmbunge kujenga kwao.

Tunapotoshana sana wakati mwingine ndio sababu watu hawaelewe ni nini hasa kazi ya mkuu wa wilaya wala mkuu wa mkoa na nini hata maana ya local government. Mmbunge yeyote aliekupendezesha kwao ujue ni at the cost of national development.

juma contena acha kupamba lugha namna hiyo. Majimbo mengine yanakwama kutokana na wizi, ubadhirifu na ufajaji wa fedha na raslimali za umma unaofanywa na wabunge kama akina lowassa, sio siri hii mboona iko wazi
 
Sio kazi ya mmbunge kufanya majambo jimboni mwake, jimbo lolote linaloshamiri bila ya mchango mkubwa kiuchumi kitaifa ujue huyo ni hasara ki taifa na huyo mmbunge ni mmbinafsi, mmkabila, yupo kwenye uongozi ambao unadhani ni wao ndio wenye haki na hatufai kama kiongozi.

Kazi ya mmbunge ni kuwawakilisha watu wake kidemokrasia kwenye siasa za kitaifa na kupeleka maombi yao bungeni; kutatuliwa ni mipango ya serikali kuu. Sasa tusisherekee eti mmbunge kafanya nini wakati majimbo mengine yamekwama kwa kuwa wabunge zao hawana nguvu na hawapo influential has mafisadi na kuwapa sifa mijitu michoyo. Wabunge wa namna hiyo ni wakabila na wasioipenda nchi kujijali wao na kwao na pia si kazi ya mmbunge kujenga kwao.

Tunapotoshana sana wakati mwingine ndio sababu watu hawaelewe ni nini hasa kazi ya mkuu wa wilaya wala mkuu wa mkoa na nini hata maana ya local government. Mmbunge yeyote aliekupendezesha kwao ujue ni at the cost of national development.
Si kushangai labda ujui katiba ya Nchi kuhusiana na mbunge.
 
juma contena acha kupamba lugha namna hiyo. Majimbo mengine yanakwama kutokana na wizi, ubadhirifu na ufajaji wa fedha na raslimali za umma unaofanywa na wabunge kama akina lowassa, sio siri hii mboona iko wazi
Only partly to blame, lakini embu angalia na government policies how are they implemented ina maana watu waache sehemu kibao zenye faida ya kuwa na barabara za maana kurahisisa uchukuzi unao hitajika au kujenga shule kutokana na right ratio nationally. Wapeleke huko Monduli na kwengine mnapo wasifia hao wabunge wanaofanya mambo ya maana kama sio kujipendelea ni nini?

Kitu kingine sehemu zingine wala akuna makono ya wezi wakubwa ni uongozi mmbovu tu na inadequate funding na vitamaa vidogovidogo kwa wale wanao andika checks . Lakini mmbunge yeyote anae kupamba kwao kupita average na majimbo mengine si wa kusifiwa.
 
Si kushangai labda ujui katiba ya Nchi kuhusiana na mbunge.
na wala sina muda wa kuitafuta na kuisoma (najua ntakuta upuuzi gani at 80%) kwa sababu hata sidhani kama unaelewea the role of ministries, ndio maana only in Tanzania unaweza kukuta viongozi wapuuzi kwenye wizara nyeti kama za mambo ya ndani, fedha na elimu.
 
na wala sina muda wa kuitafuta na kuisoma (najua ntakuta upuuzi gani at 80%) kwa sababu hata sidhani kama unaelewea the role of ministries, ndio maana only in Tanzania unaweza kukuta viongozi wapuuzi kwenye wizara nyeti kama za mambo ya ndani, fedha na elimu.
Basi huna haki ya kulaamu.
 
Back
Top Bottom