sio kazi ya mmbunge kufanya majambo jimboni mwake, jimbo lolote linaloshamiri bila ya mchango mkubwa kiuchumi kitaifa ujue huyo ni hasara ki taifa na huyo mmbunge ni mmbinafsi, mmkabila, yupo kwenye uongozi ambao unadhani ni wao ndio wenye haki na hatufai kama kiongozi.
Kazi ya mmbunge ni kuwawakilisha watu wake kidemokrasia kwenye siasa za kitaifa na kupeleka maombi yao bungeni; kutatuliwa ni mipango ya serikali kuu. Sasa tusisherekee eti mmbunge kafanya nini wakati majimbo mengine yamekwama kwa kuwa wabunge zao hawana nguvu na hawapo influential has mafisadi na kuwapa sifa mijitu michoyo. Wabunge wa namna hiyo ni wakabila na wasioipenda nchi kujijali wao na kwao na pia si kazi ya mmbunge kujenga kwao.
Tunapotoshana sana wakati mwingine ndio sababu watu hawaelewe ni nini hasa kazi ya mkuu wa wilaya wala mkuu wa mkoa na nini hata maana ya local government. Mmbunge yeyote aliekupendezesha kwao ujue ni at the cost of national development.