Lawama zinauma!

inaelekea wewe mwenyewe hujiamini pia wewe mwenyewe ni mlalamishi.jiamini kwanza na maisha yako kuwa proud na confidence na unayoyafanya then utapata appreciation

Ungejua mpendwa wangu nisivyopenda vya kujilalamisha! Sizimii kabisa hayo mambo na ndio maana naumia mwenzangu anavyoweka kipaumbele kwenye hiyo kitu.............
 
Songíto;2670312 said:
Mara nyingi haya mabo huja kwa sababu mbalimbali
1. Mara nyingi mtu akitendwa sana na akafikia wakati wa kukata tamaa kuwa hamna mwaminifu then unapokuwa nae kila wakati yeye huona kuwa ndo walewale na huendelea kuwaza mabaya akidhani utamtenda pia
2. Mara nyingi tabia hiyo ya kulalamikia haiji hivi hivi, inawezekana lipo jambo ulilowahi kumtendea mwenzako ambalo likampotezea uaminifu aliokuwa nao kwako, anaweza kuwa alikuambia amesamehe lakini ki ukweli bado linamuuma, so kila wakati hilo ndo linakuwa sababu ya kukufikiria mabaya tu

Nakubaliana na wewe!
 
Ndio hivyo RR, huwa hata kama kuna kitu kidogo vipi utamsikia 'unajua trust yenyewe imeshikwa na uzi wa kushonea nguo' basi mtu unakaa kimya tu
Basi anakosea. Unajua what you think about, you bring about. na kama anafikiria kila saa kua trust kati yenu iko weak, na itaendelea kua hivo. Hii ni shida kubwa inawapara wapenzi wengi na wanashindwa kuelewa ni kitu gani kinawafanya washindwe ku-enjoy mapenzi kwa furaha na starehe.
Ningekushauri uongee nae tena na umwambie aache kabisa kuweka shaka. ukiwa na shaka, hata kitu cha kawaida unakichukulia kama ushahidi wa kutomuamini mwenzio, whereas ungekua unamwamini hicho hicho kitu ungeweza kukitetea hata mtu wa nje akikichallenge.
kweli sio rahisi ku "let bygones be bygones" ila ukweli mngine ni kwamba the future starts here and today, kama atataka iwe reflective of what has always been itakua hivo, na kama atataka change ianze leo, it will also be. all in all you need to work together and anzeni mapema kabla haijawa too late.
 
Basi anakosea. Unajua what you think about, you bring about. na kama anafikiria kila saa kua trust kati yenu iko weak, na itaendelea kua hivo. Hii ni shida kubwa inawapara wapenzi wengi na wanashindwa kuelewa ni kitu gani kinawafanya washindwe ku-enjoy mapenzi kwa furaha na starehe.
Ningekushauri uongee nae tena na umwambie aache kabisa kuweka shaka. ukiwa na shaka, hata kitu cha kawaida unakichukulia kama ushahidi wa kutomuamini mwenzio, whereas ungekua unamwamini hicho hicho kitu ungeweza kukitetea hata mtu wa nje akikichallenge.
kweli sio rahisi ku "let bygones be bygones" ila ukweli mngine ni kwamba the future starts here and today, kama atataka iwe reflective of what has always been itakua hivo, na kama atataka change ianze leo, it will also be. all in all you need to work together and anzeni mapema kabla haijawa too late.

Thanks so much kwa advice nzuri RR, will make use of it
 
Back
Top Bottom