Naomeni msaada,kwenye masomo mtu ambayo anatakiwa awe ameyasoma moja wapo ni criminal law and procedure au criminal law or procedure?kwa sababu mimi criminal law ilikuwa option so nikachagua somo lingine lakini crpc niliisoma,sasa wanaweza wakanikataa kwa hilo?
Naomeni msaada,kwenye masomo mtu ambayo anatakiwa awe ameyasoma moja wapo ni criminal law and procedure au criminal law or procedure?kwa sababu mimi criminal law ilikuwa option so nikachagua somo lingine lakini crpc niliisoma,sasa wanaweza wakanikataa kwa hilo?