Law School ni jipu

analeta story huyu za vijiweni, si ajabu hajui hata multinational company ni kitu gani?

Sikutanii mkuu naomba kujua at least clients wao wawili tu ambao ni multinational corporation.
 
acha story, usipende kutoa majibu marahisi kwenye maswali magumu..

acha janja janja za kukimbia swali? soma sentensi yangu tena. nimesema multinational level za sony..

Hizo ndio kampuni pekee za kimataifa?
 
Kazi wanazifanya wanasheria hujulikana kwa kusomwa na siyo kwa kusikia unavyotaka wewe.

Ukimtoa Peter Maina, Ringo na Shivji hivi kuna lawyer gani amefanya mambo makubwa kimataifa kwa kipindi hiki?
Nitajie hata watano tu?
 
kwa uzoefu niliyokuwa nao ndo nmegunduwa kuwa low schools kweli kuna matatizo, na matatizo hayo ya law schools yanabebwa mpaka kwa wanafunzi waliofanikiwa kumaliza chuo wakapata cheti. Nimesoma law semester 2 , semester 1 mpaka tukagoma kumkataa mwalimu wa law, alikuwa na shida hata mwalimu mwingine naye alikuwa ni shida pia.
 

Law School of Tanzania is simply an extension of UDSM COLLEGE OF LAW,
Its shrouded by caboodle of swindlers who work very hard in disgracing legal education in the country.
I remember in early 2005 Professor Mukoyogo wanted the law school program itinerant: Meaning that the Bar Exam would be moving from College to College henceforth all worthy students would be enrolled as advocates.

I understood his stance, perhaps this could have been the best approach to churn up the best upcoming lawyers in the country.
The Kenyan Council of Legal Education is trying to work this out.
 
Huu ukuritimba ulikuwa kwenye fani ya udaktari miaka ya nyuma. Sasa umehamia kwa wanasheria eti watt wote hawawezi kuwa mawakili. Bullshit!
 
Alternative ya Law School ilikuwa ni kufanya Petition kwa CJ moja kwa moja ambapo screening ilikuwa ni ile ile! Acha kulilia goal post iongezwe upana bali fanya mazoezi ili ufunge magol!
 
Ukimtoa Peter Maina, Ringo na Shivji hivi kuna lawyer gani amefanya mambo makubwa kimataifa kwa kipindi hiki?
Nitajie hata watano tu?

Ni aheri hata ungemtaja Dr Rugemeleza alijetolea kushirikiana na Mkono kushinda ile kesi ya DAWASCO ambayo serikali ilishinda. Unaachaje kumtaja prof Luoga kwenye kuisaidia serikali katika sheria za kodi?
 
Ukimtoa Peter Maina, Ringo na Shivji hivi kuna lawyer gani amefanya mambo makubwa kimataifa kwa kipindi hiki?
Nitajie hata watano tu?

Na zaidi ni kuwa Maina kafanya kazi kwenye Human Rights hata Shivji pia. Kuna wengine kama prof Fimbo alifanya mengi kwenye Land law. Pia kuna prof Kanywanyi kafanya mengi kwenye sheria za biashara. Ila pia penda usipende prof Kabudi na Majamba ni vichwa hatari! Extremely intelligent.
 
Ni aheri hata ungemtaja Dr Rugemeleza alijetolea kushirikiana na Mkono kushinda ile kesi ya DAWASCO ambayo serikali ilishinda. Unaachaje kumtaja prof Luoga kwenye kuisaidia serikali katika sheria za kodi?

Nimesema nitajie kazi zao kubwa zianazojulikana kimataifa.
 

Nimesema nitajie maprofesa au madaktari wa sheria watano hapo Mlimani wanaofahamika kimataifa.
Na kazi zao kubwa ambazo zimesaidia dunia.
 
Nimesema nitajie maprofesa au madaktari wa sheria watano hapo Mlimani wanaofahamika kimataifa.
Na kazi zao kubwa ambazo zimesaidia dunia.

Hebu ongea kama unaelewa hivi vitu vizuri. Kuna baadhi ya masomo tena machache ndio yana general application kama human rights, Puplic international law etc hivi unataka Mwalimu wa Probate au Land awe na mchango kwa dunia nzima?
 
5,000 au sita ya kujiunga na shule ni maombi 500 tu yanayoweza kujiunga na chuo na kati ya hao ni 70 pekee wanaoweza kupata cheti kwa mwaka.

.. pass/graduation rate ya 15% ni aibu hata kwa hao wanaowafundisha. Law ni course rahisi mno! Harvard Law School, kwa mfano mwaka jana (2015) walikuwa na graduation rate ya 98%.
 
Hebu ongea kama unaelewa hivi vitu vizuri. Kuna baadhi ya masomo tena machache ndio yana general application kama human rights, Puplic international law etc hivi unataka Mwalimu wa Probate au Land awe na mchango kwa dunia nzima?

Kwanini wasiwe na mchango?
Hivi, hivyo vitabu vya Law of Torts, Probate Law , Civil Procedure Law na hata Constitutional Law unasoma vya Watanzania tu?
 
.. pass/graduation rate ya 15% ni aibu hata kwa hao wanaowafundisha. Law ni course rahisi mno! Harvard Law School, kwa mfano mwaka jana (2015) walikuwa na graduation rate ya 98%.

Pass rate ni zaidi ya 15% ila pia mkuu kuna tofauti kubwa sana kati ya wanafunzi wa hapa na huko ulikotaja.
 
HIYO YA MAELFU YA FIRST CLASS NI KALI NA INATISHA! YANAPATIKANA WAPI HAYO MAELFU NAMI NIKACHUKUE MOJA?! HATA HIVYO WANAFUNZI KUFAULU 70 KATI YA 500 SIYO TATIZO LA CHUO! WANASOMA WATU WAZIMA. SASA MTU MZIMA UFELI HALAFU UTUPIGIE KELELE HAPA! LST INA AWAMU KARIBU TATU KWA MWAKA, BADO NI WANAFUNZI 500 TU HAO?!
 
Kwa hiyo hizo awamu tatu zinahitimu kila moja baada ya miezi minne au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…