Lavalava ni bundi aliyetua WCB.

Lavalava ni bundi aliyetua WCB.

Kwanza jamaa n smart sana katika kuandka mashair.. (recall Karorero yabQBoy-- kamuandkia song yote ile)

Halaf we n hater wake since day 1.. usiforce kila mtu aone unachokiona wewe..

He is talented!!
 
Wenzio wanajenga majumba ww unajenga chuki.
 
Akitoka Rayvanny anafata diamond af huyu dogo kwa kujua pale DABILIUSIBII
 
acha chuki , Lavalava anajua sana mbona mimi binafsi namkubali kuliko hata hao unaowaona wewe wazuri labda... wimbo wake wa bora tuachane ni mzuri sana sana, anajua kutumia lafudhi ya Kiswahili vizuri

yaani wimbo ule na wa somo wa kassim mganga nikiusikia najiskia kama kweli niko pwani ya africa mashariki
 
Kwa mlioona show ya Jana mtakuwa mashahidi.
Wasanii wa WCB wote walifanya kazi nzuri sana kasoro Lavalava.

Kwanza alivaa kishamba pia hakupokea shangwe za maana kutoka kwa mashabiki kutokana na ukweli kwamba alikuwa anaboa mashabiki tu badala ya kuwaburudisha.

Hakika Simba (Diamond) hapa kwenye usajili wa haka kajamaa ulikosea sana nitazidi kukulaumu milele na milele.

Screenshot_2017-12-03-20-32-59.jpg
 
Back
Top Bottom