Aslay uwezo wake ushafika mwisho, bora Beka bado ana potential ya kuvuna
Hicho sio kigezo.Tatizo ni mpole mno nae
Aah miyeyusho tu huyuMwanzo mgumu ngoja apewe muda

pambana upate mkate wako wa kila siku uyo mwenzio yuko jikoni tayari na anakaa meza moja na hao wenye label wakati wewe unalalama mitandaoni.