Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 408
Hapo aibu tupu aisee!
Heeeee.......!
Ama kweli vyumba vinaficha siri!
Safi sana Dogo, natamani kwenye hiyo group angekuwepo mama/baba-mkwe wa huyo mwanamke!
Hahahah bora wapo wanawake wenzie tupu loh ingekuwa balaa kama Mr angekuwepo na washkaji zake!
Tehe tehe...!
Kwetunikwetu
Uliiacha kwanini ile Avatar yako ya mwanzo?
Ile ndo ilikuwa bomba bana, maana ilikuwa inaonyesha hasa`kwetu ni kwetu`
Weka ile nyumba ya ghorofa ya udongo na nyasi!
Tehe tehe.......duh mama sijui afanye nini hapo tena?
Huyo mama inaonesha kuwa anamheshimu mumewe, kwa hiyo pamoja na kwamba hamridhishi kwenye majamboz ameamua kujitafutia solution ambayo haitamwaibisha mbele ya jamii...