MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,482
- 20,428
Hata mkulu alisema atarudi kijijini kwao lakini kutwa yupo USAAlipotuambia ataenda kuchunga ng'ombe alikuwa anatuhadaa?
bado anaendelea kututumikia watanzania,kwani hujasikia kamshawishi museveni apitishe bomba la mafuta Tanzania?Anashughuli gani sasa hivi??
mzee yuko fresh,hata jioni ataelekea gym kuweka mwili safiNikadhani anapanda ngazi bila kushikiliwa.
Msoga hakukaliki!Wewe baba yake nae ameenda alikotuambia?
Haaaaaa umenichekesha mie yani siasa ni mchezo mchafu kweliAlipotuambia ataenda kuchunga ng'ombe alikuwa anatuhadaa?
Kupanda ngazi ni sifa ya wazee na si ajabu ww unaweza usipate hiyo sifa maana utatangulia mbele za haki kabla ya kuwa mzee. Usidharau wazee maana sio kila mtu anaweza kuwa mzeeNikadhani anapanda ngazi bila kushikiliwa.
mzee yuko fresh,hata jioni ataelekea gym kuweka mwili safi
pua km ngumiMbona kama mme edit kwa kurefusha miguuu
Kupanda ngazi ni sifa ya wazee na si ajabu ww unaweza usipate hiyo sifa maana utatangulia mbele za haki kabla ya kuwa mzee. Usidharau wazee maana sio kila mtu anaweza kuwa mzee
Nimemdharau wapi?
Hao waliomtukana toka 2007 mpaka alipoungana nao 2015 watakufa lini?
Maanake inaonekana wewe ndiye huwapangia watu siku za kuishi.
Acha kuweweseka sijaongea suala la kutukanwa. Nimeongelea dharau yako kwa huyo mzee kuwa apande ngazi bila kushikiliwa. Mi nimekupa ukweli mchungu kuwa uzee ni sifa na sio kila mtu atapata hiyo sifa..ikiwemo wewe.
Naona unarukaruka tu,nimekwambia uoneshe dharau ilipo.
Kwa hiyo waliomtukana hawafi ila wanaomdharau ndo watakufa?
Acheni unafiki na kukimbia kivuli chenu.
Kama kwako Lowassa ni mtume kwa wengine ni fisadi anayesubiria mahakama yao.