tisa desemba
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 434
- 114
Wadau,
kwa wale wataalamu wa mambo ya IT, plz naomba mnipe ushauri wa mambo ya kuzingatia kabla ya kununua kompyuta ndogo.
nahtaji kununua laptop kwa ajili ya kwenda nayo huko kijijini nilikopangiwa baada ya ajira mpya za walimu, itakuwa vizuri sana mkinishauri brand ipi nzuri, na sehemu gani naweza kununua hizo laptop kwa hapa dar (new or used) nina sh. 700,000/=
kwa wale wataalamu wa mambo ya IT, plz naomba mnipe ushauri wa mambo ya kuzingatia kabla ya kununua kompyuta ndogo.
nahtaji kununua laptop kwa ajili ya kwenda nayo huko kijijini nilikopangiwa baada ya ajira mpya za walimu, itakuwa vizuri sana mkinishauri brand ipi nzuri, na sehemu gani naweza kununua hizo laptop kwa hapa dar (new or used) nina sh. 700,000/=